Mr. Miela
JF-Expert Member
- Aug 2, 2007
- 1,226
- 2,055
Nimekua na tatizo la kutokua na hamu ya kula chakula kwa miaka mingi. Mbali na ushauri wa kutumia dawa mbalimbali (za hospitali na za kienyeji) tatizo bado limeendelea!
Kwa kuwa nina uwezo wa kula chakula kidogo (siwezi maliza vipande viwili vya mkate mdogo asubuhi), ninaleta ombi kwenu great thinkers kunishauri ni aina gani ya vyakula vyetu vya kitanzania ambavyo nikila kwa udogo (uwezo nilionao) vitanisaidia!
Natanguliza shukrani!
Kwa kuwa nina uwezo wa kula chakula kidogo (siwezi maliza vipande viwili vya mkate mdogo asubuhi), ninaleta ombi kwenu great thinkers kunishauri ni aina gani ya vyakula vyetu vya kitanzania ambavyo nikila kwa udogo (uwezo nilionao) vitanisaidia!
Natanguliza shukrani!