Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Ugonjwa wa KASWENDE huchukua muda gani mpaka kuonesha dalili? Msada tafadhari mwenye UELEWA HUO ANISAIDIE. Asante
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi naomba ushauri wa hili tatizo mimi nikifanya mapenzi na mke wangu huwa napatwa na vishilingi kwenye sehemu za siri japo sijui kama nimetumia lugha sahihi . Sasa sijui tatizo ni nini...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Shikamoo doctors. Husika na kichwa cha habari hapo juu, je ipo? Ikiwezekana kuzuia kabisa yasitoke kwapani tu! Asante.
0 Reactions
4 Replies
14K Views
Habari wakuu, Hiki ni kitu ambacho huwa mara kwa mara kinanitokea na yawezekana hata wewe imeshawahi kukutokea. Mfano: Mnaweza kuwa kuwa group la watu kama tano mpo pamoja mnatembea, kati yenu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari ndugu wanajamvi,na mdogo wangu aliyechaguliwa Bachelor in Medicine pale Herbat Kailuki. Nilikuwa naomba kujua kama kuna mtu anajua agency(ies) ambazo zinawezakutoa udhamini ili kuweza...
0 Reactions
2 Replies
907 Views
Wana JF ,naomba kuuliza kama Kuna mtu alishawahi kutumia hizi products za kichina kama zinafanya kazi kwa uzuri please let me know .na kama Wana office Arusha iko maeneo yapi please. Msaada kama...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
1. Pombe husababisha ugomvi maana mtu akishalewa hajitambui anafanya nini. 2. UCHUMI : Kwanza pombe inakumalizia hela za matumizi muhimu kama vile kusomesha watoto, unabana budget ya vitu muhimu...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Msaada tafadhari Nimekuwa nikisumbuliwa na swala la kuto kula nyama nyekundu yaani nyama ya ng'ombe, mbuzi, kondoo n.k.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kuonekana mrembo na mdogo imekuwa ni jambo la msingi sana katika tamaduni nyingi sasa. Katika ulimwengu wa sasa, tunaguswa sana na picha nyingi vutivu za watu maarufu. Kwa Tanzania tunao baadhi ya...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Habari wa JF, Mimi ni kijana wa kiume wa miaka 32. nina tatizo la miguu na mikono kuwa ya moto na pia kuwa na ganzi ni tatizo ambalo limeanza kama wiki 4 zilizopita saa nyingine hata nikivua...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Hi,kuna hii tendency nimekuwa naiona kwa akina mama waliozaa watoto waliowatosha,wanafunga kizazi kabisa ili kuepukana na hizi njia na uzazi wa mpango ambazo zina madhara kadha wa kadha. Naombeni...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Utafiti mpya kabisa na wa hivi karibuni kutoka chuo kikuu cha Stanford nchini Marekani unaonesha kuna uhusiano mkubwa kati ya mafuta ya transfoma na nguvu za kiume. Profesa Derrick Fitzgerald...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Habari wana jamvi, naomba msaada kwa wenye uelewa na vipele/ vinyama vyeusi vidogo vidogo vinavyojiotesha usoni. Je tatizo nini?
1 Reactions
16 Replies
27K Views
Shikamoo madaktari. Mimi nina shida bwana shida yenyewe ni kwamba leo asubuhi nimeamka sijala chochote hadi muda huu nakuandikia kwako.Ila hadi sasa toka asubuhi nimeisha enda chooni haja kubwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama hali itaendelea hivi kizazi hiki hasa vijana wengi wa kiume hasa wa mjini watakabiliwa na tatizo kubwa la nguvu za kiume kwa kukosa lishe! Katika utafiti wangu, nimegundua kuwa vijana wengi...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Mimi ni HIV positive, lakini bado sijaanza kutumia dawa za ARV'S, na mwili wangu unawasha sana hasa wakati wa usiku. Nini dawa ya kupunguza au kuondoa tatizo hilo la muwasho?
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Wanaume wengi ama wameachwa, au wako mbioni kuachika au mke yupo mchepuko kwa sababu ya kushindwa kula Nyama tena ya stake. Inakuwaje wewe mwanaume uliye na bibi mzuri unashindwa kumpa raha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Redirect
Hili tatizo la mgongo limenianza baada ya kuwa na hii gari ya sasa, nathibitisha ni sababu ya kuendesha gari. Napata maumivu zaidi kama nitaendesha ktk barabara ya vumbi. Naombeni uahauri!
0 Reactions
Replies
Views
Wadau, Nina 102kgs, nimeamua kuanza kula mlo mmoja wa mchana tu, huku jioni nikipitisha na maji tu. Breakfast nayo ni Mara moja moja. Lengo langu ni kufika 85kgs. Je, nini hasara ya njia hii...
0 Reactions
14 Replies
10K Views
kuna mtoto wa dada cjui anashida gan...afya yake sio nzuri ana mwaka mmoja ana kg 8... mtoto hali kitu chochote zaid ya uji na maji tu bt uji anauchanganyia.... mahindi mchele mtama mweupe...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom