JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu, Siamini kama mimi kijana wenu hatimaye nimepata kipara. Nilikuwa namcheka mzee wangu, Ila hatimaye yamenikuta.
4 Reactions
11 Replies
244 Views
Wengi tunaamini waarabu ndio wanaongoza kwa majini; kama ni kweli majini yapo, wameshindwaje kuyatumia kwenye hizi vita vya miaka na miaka kati yao na Marekani?
2 Reactions
18 Replies
296 Views
Unapendeza sana ukiwa nami, Ila nkuacha hunahuzunika.Je mimi ni nani?
1 Reactions
1 Replies
81 Views
Nimeanza na mapenzi, mwizi, ndizi endeleza......???
1 Reactions
10 Replies
194 Views
Umekuja mjini toka kigoma fuata taratibu za ulipofikia sio vizuri kujiamulia kila kitu hapa mjini bana sio ujiji. Unakuta mtu anatafuna dagaa wabichi mabarabarani yaani kuweka mfukoni kabisa...
0 Reactions
4 Replies
194 Views
Kwa ranks tunazozisikia Jeshi letu lipo fiti sana ni la sita dunioni hao wanyonge namba saba na kuendelea wakirusha bomu tutajibu au ?
1 Reactions
3 Replies
173 Views
Nakumbuka niliagizwa mzazi na mkuu wa shule baada ya kufanya kosa fulani, nikatafakali nikaona kama nikimpeleka babangu tukifika tu lazima yeye ndo atakua wa kwanza kunipiga mana baba yangu kwa...
10 Reactions
77 Replies
7K Views
Wakuu! Taja nchi inayoanza na herufi ya kwanza ya jina lako tuone ulistahiri kuishi wapi 😄✈️ Twende kazi! 👇🌎
7 Reactions
34 Replies
574 Views
Jirani yangu Nassoro ni miyeyusho sana yeye na mkewe. Toka Ramadan ilipoanza wao wananifuturisha mihogo na uji kila siku wakati naonaga wamenunua mchele na tambi na nyama. Natafuta namna ya...
10 Reactions
18 Replies
397 Views
Wakuu habari Naomba kufahamu kati ya unywaji wa pombe kali au bia, Issue ya ladha, relaxation na mood ile ya kuhisi vibe fulani, ndio vinawaletea munkali? Ladha gani mnayoipenda kwa bia na...
10 Reactions
149 Replies
4K Views
Katika harakati za masuala ya safari nimebahatika kupanda basi moja kutoka mkoa X, kero kubwa ni huu mrundikano wa abiria wanaolala kwenye korido kiasi cha tulioketi kukosa hata nafasi ya...
9 Reactions
84 Replies
1K Views
Ulikua na umri gani ulipogundua hiyo mikunjo nyuma ya mswaki ni kwa ajili ya kusafishia ulimi?
6 Reactions
21 Replies
533 Views
Side mirrors are in high market
1 Reactions
0 Replies
124 Views
Katika ishara ya upendo pamoja na hisia kali ambayo imegusa mamilioni ya watu, mchezaji kandanda wa Uhispania Ángel Martín alivua tisheti yake na kuonesha tattoo ya kushangaza. Tatoo yenye...
3 Reactions
9 Replies
221 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…