Wakuu,
Wote tunajua kuwa Uchaguzi umekaribia na CCM kama kawaida wataanza kufanya vituko ili kupata huruma za wananchi.
Kuelekea Oktoba Makada wa CCM wataanza kuosha vyombo, kuruka sarakasi...
Hivi, huo ujinga wa kuandika kila pahali hata ndani ya mbuga ya Nyumbu, Simba, Swala na Digidigi aliutoa wapi Nchemba?!
Nchi yangu!
Picha hapo juu ni Duma wakisikiliza Mkutano wa kampeni za...
huwezi ukajiita timu kubwa wewe shabiki na timu barani Afrika alafu hujawahi kufugiwa kuingiza mashabiki uwanjani hata kwa mechi moja timu nyingi kubwa Africa imeshawahi kukubwa na adhabu hii...
Ahsante Mungu ndoto yangu imetimia. Nilianza kujiwekea akiba tangu mwaka 2018 na leo ndoto yangu imetimia kwani nimefanikiwa kununua kamera ndogo iliyopiga picha gari hii.🙏🙏