Habari wakuu,
Kichwa cha habari kinajieleza,
wanyama wafuatayo wapo kwenye kundi lijulikanalo kama the 'Big five of Africa' nao ni Tembo,Faru,Nyati,Simba na Chui.
Katika kufuatilia kwanini...
Hii picha binafsi naona inastahili Tunzo ya kimataifa. jamaa anaendesha baiskeli juu ya reli huku treni linakuja kwa kasi nyuma yake na wala haogopi
SOURCE: ISSA MICHUZI BLOG
Wakuu,
Hapa naomba niwaalike tutaje na kujadiliana ni vivutio gani ambavyo ni vya kipekee ambavyo Mtalii hawezi kuvipata katika nchi nyingine yoyote ya Afrika mashariki au Afrika kwa ujumla...