Agosti 25, wanariadha wanafanya maonesho ya kusafiri mtoni kwa mashua ya mwanzi mmoja kwenye Michezo ya 10 ya Watu wa Makabila Madogo ya Mkoa wa Guizhou, iliyofanyika katika wilaya ya Rongjiang.
Iyo picha ya kwanza hapo chini inaonekana aliangalia movie ya Godfather iliyo hit 1950s huko Hollywood Marekani.
Na picha ya pili inaonekana kamuiga Joe Biden rais wa Marekani
••••••••••
NB. Mdau unataja maeneo ya huko kwenu kuwa yanafanana na hapo juu, tatizo hautupii na kapicha kwa kumwaminisha Tomaso.
• Usiseme Marangu, Lushoto, Bukoba, Kyera au sijui wapi huko...
Hayati Mzee Benjamin William Mkapa (wa kwanza kushoto) akiwa na marafiki zake, Phillip Magani (mwenye kofia) na John Kambona (wa kwanza kulia) wakati yupo Shule ya Sekondari Ndanda (Kilomita 60...
Hii ni hatari watu Sasa hivi wanafanya upuzi kutafuta sifa za kijinga YouTube na TikTok. Kwenye hii video licha ya kuchekesha ingeleta madhara. Angalia nyundo ingemvunia Taya. Ujinga unaochekesha