International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Katika Hali inayoonesha kuwa Ground opereshani ya IDF kwenda vibaya kwa upande wa jeshi la Israel. Usiku wa kuamkia Leo Jumamosi Wapiganaji wa Hezbollah wamefanya shambulizi la kushtukiza baada ya...
13 Reactions
94 Replies
4K Views
My take; Just take the Islamic republic out, weaken them enough for the people of Iran to take care of the rest. When the people get rid of the Islamic republic and the Ayatollah goverment nobody...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Zikiwa zimebaki siku 30 kuelekea uchaguzi wa Rais wa Marekani, Upepo wa ushindi unavuma zaidi kwenye kambi ya Trump, Ikiwa atashinda hali inaweza kuwa mbaya sana kwa Iran. Aliyekuwa kiongozi...
10 Reactions
28 Replies
1K Views
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ametishia kutumia silaha za nyuklia kuiangamiza Korea Kusini iwapo itashambuliwa, vyombo vya habari vya serikali vimeripoti Ijumaa, baada ya Rais wa Korea...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Marekani imetoa taarifa hivi punde kuwa Iran imepanga kushambulia Israel hii Leo masaa machache yajayo. Kupitia kwa intelligence mbalimbali maofisa wa marekani wanaeleza kuwa shambulio hilo...
14 Reactions
195 Replies
9K Views
Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika hapo juu. Mojtaba ambaye ni mtoto wa pili wa Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei Mojtaba Khamenei na Rais Ebrahimu Raisi , aliyefariki...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Bado nakataa kuamini. Sitaki kabisa kuamini. Hivi ni kweli? Ama naota? inakuaje kuaje?haiingii akilini? Nadhani sasa Khayatollah ajishike vizuri. Hawa jamaa si watu wazuri. Akae kwa kutulia sana...
5 Reactions
20 Replies
3K Views
Baada ya Mazungumzo Kati ya waziri mkuu, wa Israeli, Netanyahu na raisi wa marekani Biden, kuhusu Israeli kulipiza kisasi cha mashambulizi ya makombora ya Iran , Israeli haijatoa Uhakika wa...
0 Reactions
5 Replies
631 Views
Wadau hamjamboni nyote? Kumekuchaa Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameagiza Jeshi la nchi hiyo kufanya ishambulizi la moja kwa moja ndani ya ardhi ya Israel Ili kulipia kisasi...
5 Reactions
83 Replies
5K Views
🚨Lebanese media: Hezbollah member "Ibrahim Amin Al-Sayyed" refuses to assume leadership of the party; and requests to travel to Tehran in order to devote himself to worship in Iran. Why does no...
0 Reactions
5 Replies
592 Views
Wadau hamjamboni nyote? Kamanda Mkuu anayeongoza idara ya mawasiliano ya kikundi cha kigaidi cha Hezbollah Mwamedi Rashid Sakafia ameuawa kwa shambulizi la ndege za IDF akiwa amejificha...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
Victim Card Strategy ni nini? Victim Card Strategy (mbinu ya kujifanya mwathirika) ni mbinu ambapo mtu au kundi la watu hujifanya kuwa waathirika wa hali fulani au mazingira, kwa lengo la kupata...
24 Reactions
60 Replies
4K Views
Wadau hamjamboni nyote? Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Israel naftal ameishauri Israel kusambaratisha kinu cha kuzalisha nyuklia pamoja na mfumo mzima wa kuzalisha nishati nchini Iran. Ameongeza...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
First direct ground confrontation between Israel and Hezballah in Lebanon,14 dead 20+ wounded Israeli soldiers - Israeli Ambassador kidnapped! Hal Turner World October 02, 2024 Reports have...
9 Reactions
74 Replies
3K Views
Katibu wa UN Kama kiongozi wa umoja wa mataifa yote alipaswa akemea hadharani uvamizi wa Iran nchini Israel. Ila naamini Israel wanaweka rekodi sawa ili siku akivamia Iran katibu wa UN usiingize...
2 Reactions
39 Replies
2K Views
Picha za satalait zinazo onesha uharibifu kwenye base 2 za anga za Israel. shirika la habari la AP lilionesha picha za setalait za Ovde air base na Nevatim air base zikiwa zimeharibiwa vibaya sana.
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Jamani hii Picha ninayo iona hapa ni ni ya kweli au imetengenezwa na akili mnemba AI
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Hii ni pamoja na makombora anayo vurumisha Israel: Murua kabisa kuwa, haogopwi mtu!
11 Reactions
64 Replies
4K Views
Wanaukumbi. Kiongozi mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei: “Wakiridhika na nchi moja, wanakwenda nchi nyingine. Kila nchi ambayo haitaki kutekwa na adui, lazima iwe macho tangu mwanzo. Adui...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Hassan nasrallah aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Hezbollah amezikwa kwa muda eneo lisilojulikana wakihofia mazishi makubwa ya wazi upo uwezekano mkubwa wa Mossad na IDF kutumia...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…