International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Walizunguka Walichoma nyumba za maskini vijijini na kuua watu. Jameni muarabu alituachia laana kubwa sana Afrika, popote alipo ateseke kwa moto. ===== Suspected jihadists killed more than 20...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Ndege ya kivita ya Marekani imedunguliwa katika Bahari Nyekundu kwenye tukio linaloonekana kuwa "ufyatuaji wa silaha uliotokea upande wao", jeshi la Marekani limesema. Wafanyakazi wote wa Jeshi...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Papa Francis alaani vikali kinacho iendela huko Gaza na kuilamu Israeli kwa ukatili wanao ufanya dhidi ya watoto. Amesema kinacho fanywa na Israeli sio vita bali ni ukatili dhidi ya watoto...
4 Reactions
30 Replies
1K Views
Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, anatarajiwa kuendeleza msaada wa kijeshi wa Marekani kwa Ukraine baada ya kuapishwa tarehe 20 Januari, kwa mujibu wa gazeti la Financial Times Kwa mujibu...
6 Reactions
40 Replies
2K Views
Naona nguvu kubwa inaendelea kutumika kuua raia na kubomoa majengo huko Gaza lkn hakuna taarifa za kupatikana kwa mateka. Je Mossad na IDF wameshindwa kuwaokoa ndugu zao? Au hakukuwa na mateka...
0 Reactions
43 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Dereva aliua watu wasiopungua wawili alipovamia Kwa kubamiza gari kwenye umati mkubwa wa watu waliokuwa wakisherehekea katika soko la Krismasi katika mji wa Magdeburg...
10 Reactions
73 Replies
3K Views
Jeshi la Anga la Israel(IAF) limefanya mashambulizi makali nchini YEMEN katika mji mkuu wa SANAA. Mashambulizi hayo yameharibu kabisa Vituo vya kuhifadhi mafuta,Maghala ya Silaha,Vituo vya kufua...
23 Reactions
165 Replies
8K Views
Kimbunga Chido kimeua watu 94 nchini Msumbiji tangu kilipotua katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki wiki iliyopita, mamlaka za ndani zimesema. Taasisi ya Kitaifa ya Kudhibiti Hatari na Majanga...
0 Reactions
1 Replies
400 Views
Hezbollah waliwawekea mtego wakaingia wakawaangamiza papo hapo video inaonyesha maiti zikibebwa kwa helkopter ya kijeshi [emoji298]️What happened today morning in South Lebanon? A clash occurred...
5 Reactions
70 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote? Rasmi Kiongozi Mkuu mpya wa Syria baada ya mazungumzo na WAMAREKANI ijumaa meonyesha ushirikiano mkubwa mkubwa hivyo Serikali tukufu ya Marekani imefuta rasmi ahadi yake...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
ECONOMY: China 18.5 trillion USD (GDP) Japan 4 trillion USD (GDP) Population: China🇨🇳 1.4 billion Japan🇯🇵 123 million Per capita: China: 13000 USD...
10 Reactions
42 Replies
3K Views
Idadi ya vifo kutokana na kukanyagana wakati wa hafla mbili za kutoa misaada ya Krismasi nchini Nigeria imeongezeka kutoka 13 hadi 32, polisi walisema Jumapili. Waathiriwa, wakiwemo watoto...
0 Reactions
3 Replies
382 Views
Wanaume 17, raia wa China wamekamatwa kwa tuhuma za kuendesha mgodi haramu wa dhahabu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, mamlaka ilisema hapo Ijumaa, wakati serikali ikiendelea na msako...
3 Reactions
9 Replies
981 Views
Scores of people were injured and at least two people, including a small child, were killed on Friday after a car ploughed into a crowd of people at a Christmas market in the eastern German town...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Moderator saidia kurekebisha kichwa cha habari tafadhali Wadau hamjamboni nyote? Jamil Hassan almaarufu the butcher au mchinjaji Aliongoza kikosi maalumu Air Force Intelligence kikihusika na...
4 Reactions
8 Replies
803 Views
Imeelezwa kuwa waziri mkuu wa Slovak anajiandaa kufanya ziara wiki ijayo Russia kukutana na Putin kuzungumzia suala la usambazaji wa Gesi nchini kwake. Mkataba wa sasa wa kupeleka Gesi...
2 Reactions
2 Replies
498 Views
Nimefanya utafiti mdogo wa wamashabiki wa vita na migogoro ulimwenguni nikagundua kushuka kwa morari Kwa pro Rashia na Iran,anguko kubwa lilitokea baada ya westi kuichukua Syria mikononi mwa...
10 Reactions
25 Replies
2K Views
Hizi ni kauli za mwisho za binadamu baada ya kuona hamna tena matumaini ya kuendelea na uhai wake pindi anapokumbana na hitilafu au ajali inayompata wa nini kifuatacho
9 Reactions
64 Replies
5K Views
Wadau hamjamboni nyote? Kumekuchaa Tel Aviv yapigwa na kombora zitoe kutoka Yemen Mfumo wa kuzuia makombora umeshindwa kuzuia kombora hilo ambalo limepiga tel Aviv na kufanya uharibifu mkubwa...
12 Reactions
91 Replies
4K Views
Last month i talked about one of the most carefully guarded of all intelligence secrets,the existence of russian robotoids. As i explained last month,they are the key factor in understanding...
1 Reactions
88 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…