Juma mchopanga a.k.a mbakiaji. Mkimuona mwambieni arudi kwenye game watu tumemic mistari. Toka am so famous na producer bora kuliko wote africa mashariki, p funk, hatujamsikia.
Mkimuona mwambie...
Hebu cheki hii ratiba ya mmoja wa milionea hapa Bong;
"I wake up earlier around 4 am I spend half an hour reading a motivational book half an hour bible, fifteen minutes of prayers and fifteen...
Najua hakuna binadamu aliye msafi mbele za Mungu ila kuna binadamu wenzetu uchafu wa matendo yao umezidi.Jamani hili punga linatia kinyaa,halafu chafuuu.Yaani huyu hata akiwa mwanaume wa kawaida...
1st xry tx nt wena tx wema apo juuu........kajala aamua kuonyesha shukran zake kwa rafiki yake wema sepetu kwa kuamua kuchora tattoo begani akiwa ameandka jinala wema huku nae wema amechora tattoo...
Yaani he is flaming queen ,fur jackets ,.anabeba hand bags and jewelry and full attention .sasa Kuanzia Obama baba ake magic wamesema " very proud of him" hivi mzazi kazi yake nini ?angalau...
Lile sakata kati Jide VS Clouds limefikia sehemu mbaya. Picha lilianza hivi, siku mbili zilizopita Mwaanadada Jide aliwteet kupitia akiwalaumu Clouds Fm kwa kumuhujumu...
Hiki ndicho alichokipost, je in maana amekuwa agent wa swala hili na hivyo anaupromote ukameroon???? au ni ulimbukeni tu na kutaka sifa za kijinga?
soma mawlwzo yake
"BILALI SEDUCTION ATUA...
Msanii wa Hip Hop kutoka kundi la WATENGWA ambalo maskani yao iko Arusha JCB, juzi aliuaga ukapela na kufunga ndoa na Diana Jorgensen pande za Arusha.
Diana akidondosha wino kwenye...
RAY ASALIMU AMRI BAADA YA KUKUBALI KUACHANA NA
FILAMU YAKE ILIYODAIWA KUWA INA UDHALILISHAJI
MKUBWA
HATIMA ya filamu ya mwigizaji, Vincent Kigosi Ray,
Sister Mary iliyokuwa imezuiwa kwa...
hiki kipindi kinarushwa katika channel inaitwa E-Entertainment. huwa naona jinsi wanawake maarufu wanavyohangaika kufanyia miili yao plastic surgery hadi nakoma. wanapendelea uso matiti na tumbo...
Kwanz kabisa ningependa kutanguliza shukrani zangu za dhati kabisa
kwa Mwenyezi Mungu kwa siku ya Jana....Tarehe 30 march
niliwasili salama salimini mjini bukoba Mkoani Kagera....Pili...
Napenda kuchukua Nafasi Hii Kumshukuru mungu kwa
uzima na afya tele aliyonijalia.....
Mpaka kuwasili salama bukoba tarehe 30 march mwaka huu
.....Pia napenda kuwashukuru mashabiki
wote wa mjini...