Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mwaka 2013-2014 wakati kesi ya Kenyatta na Rutto zinarindima kwenye mahakama ya uhalifu wa kimataifa (ICC-The Hague), njia kuu iliyotumika kuzima sakata ni kuharibu ushahidi kwa kuuficha, na kuua...
54 Reactions
61 Replies
1K Views
Siku za nyuma aliwahi kuweka wazi juu jina, namba za simu na mahala anapoishi afisa wa Tiss aliyewahi kuhusika na kumteka Dk Ulimboka. Juzi kati alidokeza juu ya Dk Nchimbi kulazimishwa kustaafu...
21 Reactions
85 Replies
1K Views
  • Featured
Mfanyabiashara wa China, Zheng Xiangming, ametunukiwa cheo cha Chifu wa jadi nchini Ghana na kupewa jina la Hiowe Golaka Noryam Matse Nene Asumahtsu I, katika hafla iliyofanyika Agosti 29, 2026...
7 Reactions
29 Replies
624 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekemea hali ya uchafu uliokithiri katika miji, hususan jiji la Dar es Salaam. Akizungumza Septemba 2, 2026, katika Ikulu Ndogo ya...
8 Reactions
67 Replies
1K Views
Machifu na Malkia Kwenye kale ka mchezo ka chakula cha wapendanao Wewe chifu au malkia kionjo kipi unakitumia ili kujua umeupiga mwingi? Je, chifu performance yako malkia alikupa muitikio upi...
15 Reactions
184 Replies
2K Views
Huu ni ukweli mchungu, kwa mazingira tulio nayo na siasa za chadema kwa sasa Itafika 2030 tupo hivi hivi,.. Ukawa walifanya kosa kubwa sana mwaka 2012/13 kususia bunge la katiba kwa kigezo kikuu...
0 Reactions
1 Replies
3 Views
Lisu kwa Golugwa. ' 1. Je baada ya maoni ya Jumuia za kimataifa juu za ubovu wa uchaguzi serikali ilifanyeje Golugwa: Mama alihutubia akasema wasitupangie. Tundu lisu; Je hizo lipoti zilimaanisha...
7 Reactions
12 Replies
195 Views
Bahari inakuona, inakusikia na inaweza kufanya maamuzi ya ajabu juu yako mpaka watu wakashangaa 😳 unapoiangalia Bahari unaona ni maji tu ila bahari ina uhai, yaani Bahari inajua nini kinaendelea...
8 Reactions
37 Replies
384 Views
Mtangazaji na mwanamtandao maarufu Juma Lokole ameibua gumzo kubwa mitandaoni baada ya kuweka wazi mazungumzo yake ya simu na mfanyabiashara pamoja na mbunifu wa mavazi, Rich Mitindo. Katika...
3 Reactions
7 Replies
172 Views
Iran ana nguvu za kijeshi according to some people, andiko langu sijaja kuzungumza ilo. Iran alifunga mlango bahari wa Hormuz kama kete ya kuiadhibu Dunia. Na alidhani Dunia itamnyenyekea. Iran...
12 Reactions
109 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
2,086,888
Posts
56,077,084
Back
Top Bottom