Ilikua siku ya ijumaa, majira ya saa sita mchana nikiwa maeneo ya kilimahewa bondeni, kuna mteja wangu wa sabuni aliniagiza nimpelekee kwake nikiwa getini alitoka nikampatia mzigo wake akanipa...
Kipekee sana nimekuwa na heshma kubwa na ukatoliki. Kama ilivyo kwa wakristo wengi, wengi wetu, kwa kiasi kikubwa malezi ya utotoni tumeyapatia katika kanisa katoliki, baadaye baadhi yetu...
Mtu mweusi anajifanya mjuaji na mwenye akili nyingi huku kwa uhalisia ni kinyume chake.
Mtu mwenye akili ndogo au tahira Ishara yake kubwa ni kuendeshwa kwa mihemko na misisimko kuliko fact.
Mtu...
Hivi duniani kuna nchi ina mind-blowing infrastructure kushinda China
Barabara na highways
Reli (railway systems)
Viwanja vya ndege (airports)
BRT system
Train stations
Bandari (ports &...
Tulia Ackson aliyekuwa anaona sifa kutunga sheria mbaya, na kutumika kulinda uovu wa serekali bungeni, alipigwa chini.
Na kabla hajapoa vizuri mumewe naye kapigwa chini Sasa wakae wapitie uovu...
Kwa wale wasiomjua SirJeff Dennis, basi huyu ndiye mmoja wa waasisi wakuu waliowahamasisha Watanzania wengi kufuatilia biashara ya forex na mifumo ya online forex. Hii si kusema hawakuwepo wengine...
baada Trump kushindwa kuwaingiza Vitani washirika wa Ulaya na kuwakosoa Marais wa Ulaya NATO wamemcharukia Trump na kumpa za uso
📞Trump (screaming): “Emmanuel! Giorgia! You cowards! Strait of...
Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei.
Vyombo...
Jamani naomba kuuliza wajuz wa mambo mnaofahamu juu ya hili jambo
Tumeambiwa uganda anachimba mafuta na tunachimba bomba toka huko had tanga kwa ajil ya mafuta hayo
Wakat huu tulionao hawez...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.