sibakwi tafadhali bali naletewa mabo
nimemuuliza gaga anasali wapi niende naye hajanijibu
kama hujamuelewa mwanamalenga unaruhusiwa kuuliza swali
Aah braza, ile thread yako niliisoma yote kama ilivyo... Ulikiri kubakwa bro!
Lakini umedai wewe ni mwanamalenga?
Mapingu mwanawane imekaa kizungu zaidi imagine wazee unaowwajua wamefungwa pingu watakubali kweli
Ajilazimishe, miami bila kelele hakieleweki.bora hata ajirazimishe lakini kelele zisikike.mia
Ulikuaga uko vizurii
Wakati sasa hivi ndio niko vema than ever.Ulikuaga uko vizurii
Wakati sasa hivi ndio niko vema than ever.
Najua hujawahi kufanyiwaga vibwangalangalazarizarila makolbezeo hadi kibuyu cha maziwa ukakiika kibutu ta madhiwa.
Ila ipo siku yako ya kukuhamisha dunia hii na kukutia upofu wa mapenzi.
Sinywagi biaaWe kidudu mtu unakunywa bia wapi leo
Saint Ivuga
Unakunywa mataputapu tu si ndioSinywagi biaa
Mbona nyie mbilikimo mnapenda sana kuchokoza watu???Unakunywa mataputapu tu si ndio
MmhMbona nyie mbilikimo mnapenda sana kuchokoza watu???