PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
-Kwa kuwa zoezi la vitambulisho vya Taifa linawahusu Watanzania wa dini zote,
-Na kwa kuwa kupata kitambulisho kutamfanya mtu apatikane kila akitafutwa,
-Na kwa kuwa kitambulisho cha mtu hakionyeshi dini yake,
-Na kwa kuwa zoezi la vitambulisho linafanana-fanana na Sensa,
Ndugu zangu Waislamu(wenye mpango wa kugomea sensa) wanaonaje wazo la kugomea
Vitambulisho vya kitaifa, ambavyo ni vya kudumu, kuliko kugomea Sensa ya Watu na Makazi,
ambayo inadumu kwa muda wa miaka 10 tu?
Naomba mwongozo wa hoja hii!
-Na kwa kuwa kupata kitambulisho kutamfanya mtu apatikane kila akitafutwa,
-Na kwa kuwa kitambulisho cha mtu hakionyeshi dini yake,
-Na kwa kuwa zoezi la vitambulisho linafanana-fanana na Sensa,
Ndugu zangu Waislamu(wenye mpango wa kugomea sensa) wanaonaje wazo la kugomea
Vitambulisho vya kitaifa, ambavyo ni vya kudumu, kuliko kugomea Sensa ya Watu na Makazi,
ambayo inadumu kwa muda wa miaka 10 tu?
Naomba mwongozo wa hoja hii!