fagix
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 739
- 552
Umejitahidi ku quote hizi research za history ni mfu sijui km zina faida dunianiBarbarosa, nakuhakikishia-....hatushindi. Soma article yangu/research hii hapa!
Umejitahidi ku quote hizi research za history ni mfu sijui km zina faida dunianiBarbarosa, nakuhakikishia-....hatushindi. Soma article yangu/research hii hapa!
Mh! Hapa kuna kaukweli nn!? Maana wakati flani nikiishi Njombe kuna jamaa mmoja fundi wa magari alikuwa akitengeneza gari za bos wangu Muingereza ambaye kwa mujibu wa dreva huyo Bosi wangu pamoja na wenzie walikuwa wakipiga tripu za siri ziwa nyasa kupitia Ludewa wakiwa ma diving equipments...anadai walikuwa wakitumia diving equipments katika ziwa hilo.Nimesikia kuna mafuta wa Waingereza ndiyo shinikizo usiniulize source.
Kama hapo zenj mafuta chukua, umeme pata kwa bei ya kutupa, kazi zetu kwa mambo cio ya muungano, kogamboni wamefanya kipande kisiwa hicho. Zenj yao, tz yetu. Ati tumechanganya damu bc wawe mkoa au kanda. Kwa utaratibu huu nakubaliana na wewe mkuu tunaweza kuwachia. Membe yuko wapi jamani alikuwa na msimamo dhahiri.Nchi hii ilivyoya ajabu utashangaa ziwa tunanyanganywa kizembe na kuwaachia wenzetu wakaneemeke tz ni nchi ya maajabu sana hatuvijali vilivyo vyetu.
mkuuSina haja ya kusoma chochote, hiyo ni International law kwamba chochote kilichoko mpakani kinamilikiwa na nchi zote, hilo halina mjadala!
mkuu
ziwa haliko mpakani..malawi wanasema kuwa ziwa lote ni lao na kama ndivo ilivo hivo..maana ake hiyo international law haiwezi kuwa applicable hapo
Wamalawi walipewa sehemu ya nchi kavu ya Msumbiji wao wakatoa ziwa Malawi, maji. Hawana shida nayo. Ninachosema mie, tusiende mahakamani, ICJ, watatupiga. Tutumie equitable principle tu....half letu, half lao.!!Pia tuwe makini tunapojenga hoja huko katika vyombo vya kimataifa tunapodai sehemu yetu ya Ziwa!
Kimsingi sisi hatudai 50% ya ziwa, ni makosa kusema kuwa eti tunadai nusu ya ziwa! kwa sababu kimsingi 30% ya hilo ziwa tayari ipo msumbiji tunachokigombania sisi na Malawi ni takriban asilimia 70 au 75 hivi iliyobaki
. SISI TUNACHOKIDAI NI MPAKA ULIOPITA KATIKATI YA ZIWA!
ustadhad faizza salaam..Jaribuni.
Wamalawi walipewa sehemu ya nchi kavu ya Msumbiji wao wakatoa ziwa Malawi, maji. Hawana shida nayo. Ninachosema mie, tusiende mahakamani, ICJ, watatupiga. Tutumie equitable principle tu....half letu, half lao.!!
Hii ni sawa na tanganyika kuitawala zanzibar kupitia muungano lakini sifikirii wamalawi watakubali kutawaliwa kupitia ziwa nyasa.Una maanisha nini unaposema halipo mpakani? Hiyo ramani yao (Malawi) inaonyesha mpaka uko ndani ya ardhi ya TZ yetu au lilipoishia Ziwa?
Naona hapo ndipo patakua patamu!!Duuuuh angekuwepo mtangulizi madarakan ingekuwa raisi kidogo huyu mheshimiwa dokta anaweza akatuma jeshi tu maan internatonal diplomacy hana kabisaaaa