Hiyo makala ina uvurugaji gani? Tusipofushwe na chuki binafsi.ZZK ndugu yangu mbona ghafla mabadiliko? Umelipwa bei gani kuja kuvuruga? Lakini leo ninakuapisha mbele ya Mungu kama una mpango wa shetani!! wa kutumwa kuvuruga basi hutofika popote!!
Kwa sababu mpango wa ukombozi wa TZ ni mpango wa Mungu. Na soma katika vitabu vyote yaliyowapata wale waliojaribu kuingilia mpango wa Mungu!! Tafadhali sana!! tulia uongozi utaupata na hata urais!! Lakini kwa mtindo huu wa kuwafanya hata maadui wa CDM wakachekelea hutosamehewa believe me!!
Mkuu kutokuwa na dini siyo kutokuwa na Mungu. Hakuna mpango wowote utakaoweza kufanikiwa bila MUNGU. Na huu siyo "UDINI"Sijaelewa hapo mpango wa ukombozi ni mpango wa Mungu, yaani hii M4C ndio mpango wa Mungu, Mungu yupi huyo wakati serikali haina dini au CDM ina dini, pananitatiza hapo
Huna jimpya wewe kicheko chako kina fanana na cha......................ikina mshutoko kwa vi baba kama zitto.Kwiwkiwkwiwkiwkwiwkwiwkwiwiwiwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiikwiwkwiwkwiwwiwkwiwkwiwkwiwkwiwikwiwiwiwkwiwkwiwkiwkwiwwkwiwkwiwkwiwkwiwiwiwiwiwkwiiwiwwiwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiikwiwkwiwkwiwiwwiiwiwwiwiwiwiwiwiwiwiwi kele wwoooooooooooooooooooooomiiiiiiiiiiiikwkwiwkiwkwikwiwwkiwwkwiwkwiwi Zitto
Ifikie wakati tuanze kujadili sera na kuachana na siasa za kujadilj watu, Zitto kazungumzia sera, na sisi tufnye hivyo, kama tunataka maendeleo ya nchi!
Dini ya Mungu ni ipi?.Sijaelewa hapo mpango wa ukombozi ni mpango wa Mungu, yaani hii M4C ndio mpango wa Mungu, Mungu yupi huyo wakati serikali haina dini au CDM ina dini, pananitatiza hapo
ZZK=zana za kilimo i.e anatumika na mafisadi kwa malengo ya kudhoofisha CDM..hawa watu mwisho wa siku wanaumbuka vibaya au wanakufa kifo kibaya.Ni Traitor! Ana uchu wa madaraka kama edward Lowassa!