peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,830
- 21,460
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, tunakuomba upitie ,ufuatilie leseni ya utafiti wa Dhahabu ambayo imekwisha muda wake PL 6973/2011.
Leseni hii Mama yetu na Rais wetu Dkt. Samia, alisema ni eneo la wachimbaji wadogo huu ni mwaka wa tatu.
Kwanini haifutwi ili kuruhusu wachimbaji wadogo kuchimba Dhahabu na kupewa leseni maeneo ya hiyo leseni ya utafiti?
Leseni hii Mama yetu na Rais wetu Dkt. Samia, alisema ni eneo la wachimbaji wadogo huu ni mwaka wa tatu.
Kwanini haifutwi ili kuruhusu wachimbaji wadogo kuchimba Dhahabu na kupewa leseni maeneo ya hiyo leseni ya utafiti?