Pundit,
Maneno yako kweli na yanaleta maana zaidi hasa tukizingatia kuwa Zitto anachukua hatua nyingine kukosha jina lake for the record. Mimi kidogo nashikwa na utata napolitazama swala hili kuwa amekubali kutumikia kifungo cha kijeshi kwa kutii Bunge ambalo leo anataka kuliondoa credibility yake.. Again for the record sawa kabisa but he should have done that wakati akitembelea mikoa kuwataarifu wananchi kilichotokea, hivyo sakata la Buzwagi lisingewapa usingizi hata kidogo.
Na ndio maana baada ya Karamagi kuona Zitto kanywea nje ya Bunge Kisheria alikuwa na ubavu hata wa kusimama mbele ya waandishi wetu na kutoa baadhi ya taarifa zenye utata zaidi lakini tulishindwa ku question kwani maamuzi ya Bunge yalionekana halali KISHERIA hali kulikuwepo na hitilafu. Kutembelea mikoa na kadhalika ilikuwa kazi nje ya sheria na tuliweza kuipongeza sana tu na hata wananchi waliingia mitaani kulaani kitendo cha Bunge, yet tulishindwa kuendeleza vagi lile kisheria.
Binafsi sidhani kama ni jambo zuri kukiri mahakamani kama wewe ni guilty hali ukijua wazi kuwa huna hatia kisha baada ya kutumikia kifungo ndio unasimama na kuweka madai yako kisheria. Aluta Continua huwa haisimami hata kidogo, tunapowapa pumzi CCM na kujikusanya upya inakuwa inaondoa munkar wa harakati zetu ktk kutafuta demokrasia ya kweli.
Maneno yako kweli na yanaleta maana zaidi hasa tukizingatia kuwa Zitto anachukua hatua nyingine kukosha jina lake for the record. Mimi kidogo nashikwa na utata napolitazama swala hili kuwa amekubali kutumikia kifungo cha kijeshi kwa kutii Bunge ambalo leo anataka kuliondoa credibility yake.. Again for the record sawa kabisa but he should have done that wakati akitembelea mikoa kuwataarifu wananchi kilichotokea, hivyo sakata la Buzwagi lisingewapa usingizi hata kidogo.
Na ndio maana baada ya Karamagi kuona Zitto kanywea nje ya Bunge Kisheria alikuwa na ubavu hata wa kusimama mbele ya waandishi wetu na kutoa baadhi ya taarifa zenye utata zaidi lakini tulishindwa ku question kwani maamuzi ya Bunge yalionekana halali KISHERIA hali kulikuwepo na hitilafu. Kutembelea mikoa na kadhalika ilikuwa kazi nje ya sheria na tuliweza kuipongeza sana tu na hata wananchi waliingia mitaani kulaani kitendo cha Bunge, yet tulishindwa kuendeleza vagi lile kisheria.
Binafsi sidhani kama ni jambo zuri kukiri mahakamani kama wewe ni guilty hali ukijua wazi kuwa huna hatia kisha baada ya kutumikia kifungo ndio unasimama na kuweka madai yako kisheria. Aluta Continua huwa haisimami hata kidogo, tunapowapa pumzi CCM na kujikusanya upya inakuwa inaondoa munkar wa harakati zetu ktk kutafuta demokrasia ya kweli.