Hapo kuna kiini macho, hata nisingejua kusoma picha ningeitambua. Zile pilika zake zote za mabilion ya uswis na alisema data anazo, leo hii ghafla eti kasain had afidavt kua hana jina hata moja! Hembu hilo fumbo wawafumbie wengne, welevu tushaling'amua. Sasa kumbe alikua anataka umaarufu gani mpya kupitia mabilion ya uswis, wakati hata jina moja hana. Lol!