Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Hivi kulikuwa na ugumu gani kusema tu kuwa "kwa sasa sitaki kuzungumzia mambo hayo; chama changu kiko vitani; tunauchaguzi kwa hiyo sitaki kulizungumzia; niulize kuhusu uchaguzi mdogo nitakujibu".. but noo...