AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Zuberi Kabwe, amesema kuwa hana nia ya kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama chake katika Uchaguzi wa ndani wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.
Gazeti la Nipashe.
may be anataka amwachie Nafasi ya kugombea uwenyekiti BENARD SANANE. bkoz we cant know