Mtimti
JF-Expert Member
- Feb 23, 2008
- 942
- 644
Zitto kabwe ametangaza kugombea tena ubunge katika jimbo lake mwaka 2010 na hivyo kufuta ile kauli yake ya kuachana na ubunge. Namwomba MWENYEZI MUNGU ampe nguvu/siha na afya njema ili aendelee kuwawakilisha watanzania wenye uchungu na nia njema na nchi yao
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WENYE MAPENZI NA NCHI YAO NA UWAUMBUE MAFISADI NA WANAOLIPELEKA PABAYA TAIFA LETU
Source: Kulikoni.
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WENYE MAPENZI NA NCHI YAO NA UWAUMBUE MAFISADI NA WANAOLIPELEKA PABAYA TAIFA LETU
Source: Kulikoni.