Mageta Opanga
Member
- Jul 9, 2009
- 19
- 0
Ni lipi la kifisadi aliloliibua Zitto ambalo wengi mnadhani ni wa muhimu kiasi hicho yeye kuwepo BUNGENI? Au ni ule ubishiubishi wake wa watu wa KIGOMA kama akina KADUGUDA wa Simba?
Michango yake inaeleweka. Kuibua hoja za ufisadi sio umihimu wa kuwepo bungeni.
Je atagombea ubunge tena? Wapi?