Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Mheshimiwa ZITTO ZUBERI KABWE leo wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Sayansi na Teknolojia amesema anao uwezo wa kuongoza nchi, anao uzalendo kwa nchi yake na anao uwezo wa kuwa amri jeshi mkuu wa Tanzania.