Calm down kabwe & Kitila,you will never walk alone Comrades,
Watanzania walio wengi sio wajinga kama chadema wanavyodhania,tunajua kila kinachoendelea,
Hata ingekuwa kwa namna gani,nyinyi hamna number one qualification ya kuaminika ndana ya chama hiko na sababu zinafahamika,ukabila & ukanda...
Hamna haja ya kuandika barua,pigeni kimya kama kawaida sisi tunataka tujitosheleze kuna nin hasa ndan ya chdema??NI CHAGA DEVELOPMENT MANIFESTOPHISM AU CHACHAWANGWENISM??
ITAFAHAMIKA TUH...
tamuchungu !
Why tusimsubiri msemaji wa CHADEMA JJ Mnyika (MB)atueleze makosa ya Zitto yaliyo pelekea asimamishwe?
Why unachagua sababu zinazo m favor Zitto tu ukaziacha zingine kama:
Mawasiliano yake ya karibu na jasusi Jack Zoka!
Kuunga mkono serikali wakati wa kesi ya ugaidi ya Rwekatare aliposema wazi kuwa rafiki yake Msacky alitaka kuuliwa kwa njia za kigaidi
Kila mara kuleta visingizio kukwepa Mikutano muhimu ya chama
Kujitenga kwenye operation za collectively responsibility kama vile uchaguzi wa Arumeru na Arusha
Tuendeleeeeeee?
Bihafsi nasikitika. Si kwa sababu ya Zito kutimuliwa bali kwa jinsi ambavyo tumehama barabara. SASA tunapita kulia badala ya kushoto mwa barabara. Kwa siku 14 zijazo siasa za chadema zitakuwa taabani na ccm watatumia muda huo kujiinngiza kwenye suala hili ikiwa ni pamoja na mahakama kuzuia halafu watafanya mabo kuwa magumu sana. SI MTAONA???!!!!!!
ATAKAMTWA CHADEMA HAPA.
ILI KUJINUSURU KWA USHAURI WANGU NI HUU:
:A S-confused1: JUHUDI ZA KISHERIA ZIFANYIKE KWA MUDA WOTE SAKATA HILI LITAKAPOKUWA LINAFUKUTA
:frusty: UTULIVU WA MAJIBIZANO UNATAKIWA KWA KIWANGO KISICHOELEZEKA
:A S-confused1: AACHWE MSEMAJI MMOJA TU KWENYE USEMAJI WA SUALA HILI AMBAYE NI KATIBU MKUU MWENYEWE
:A S 2152: HOJA ZOZOTE ZITAKAZOLETWA NA CCM SIPUUZWE KWA KIWANGO KIKUBWA
:noidea: WANACHAMA TUTULIE MAANA MAAMUZI HAYA NI YA MSINGI SANA KWA USTAWI WA CDMA NA NCHI KWA UJUMLA
Umesahau kuwa yeye ni mwenyekiti wa PAC
Dr kitila mkumbo-singida
Zitto kabwe. -kigoma
Duh dhambi hii inawamaliza,poooooopoooooooooooozzzzzzz
Siku ya kujieleza Zitto atupe ufafanuzi wa haya!
Mawasiliano yake ya karibu na jasusi Jack Zoka
yanahusu nn!
Kuunga mkono serikali wakati wa kesi ya ugaidi ya Rwekatare aliposema wazi kuwa rafiki yake Msacky alitaka kuuliwa kwa njia za kigaidi na kuwa yupo upande wa Msacky!
Kila mara kuleta visingizio kukwepa Mikutano muhimu ya chama na kuondoa dhana nzima ya uwajibikaji
Kujitenga kwenye operation za collectively responsibility kama vile uchaguzi wa Arumeru na Arusha
Athibitishe madai yake ya hivi karibuni kuwa CHADEMA Makao Makuu wanahusika kumchafua kwenye media
Tuendeleeeeeee?
Hapa ndipo watanzania tujihoji kuwa cdm ni chama cha nani, na ndani ya cdm
kumefichwa nini.