gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,573
Kwani na wewe ukiwa CCM utapungukiwa nini jiunge uepuke kudharauliwa!Not God forbid....jamaa wanatuzarau sana...wametugawa kwenye matabaka...ccm tabaka A kwamba wao kila kitu kwao ni sawa wengine tabaka B hawa wakifanya hata wanayofanya tabaka A jela inawahusu....hapo unategemea nini...kunamsemo unasema haki huinua taifa
Sent using Jamii Forums mobile app