Zitto kweli ni wakati muafaka kutangaza hili?

Status
Not open for further replies.
Hivi una akili kweli? Shibuda shoga yule ulitaka agombee na nani? Hata nyie Chadema mnajua hamna jinsi kwasababu mnataka kuongeza idadi ya wabunge. Kweli wewe chizi maarifa Bilali alishinda kura za maoni hakupita kwenye uteuzi wa mwisho chama kilimuona Karume ana uwezo zaidi wa kumshinda Maalim Seif.

Chama
Gongo la Mboto DSM

Wewe ndio huna akili wala kumbukumbu, upo CCM kama mbumbu mbu tu, mwaka 2000 Gharib Bilal alishinda kura za maoni Zanzibar ila CCM Dodoma ndio wakamtosa, hakukata tamaa, na mwaka 2005 alichukuwa tena fomu kupambana na Karume je ni kwa nini CCM ilimwomba aondowe jina amuachie Karume peke yake?
Pili huu ni mwaka wa uchaguzi Mkuu ndani ya CCM je kwenye nafasi ya uenyekiti JK atagombea na nani?
 
Wewe ndio huna akili wala kumbukumbu, upo CCM kama mbumbu mbu tu, mwaka 2000 Gharib Bilal alishinda kura za maoni Zanzibar ila CCM Dodoma ndio wakamtosa, hakukata tamaa, na mwaka 2005 alichukuwa tena fomu kupambana na Karume je ni kwa nini CCM ilimwomba aondowe jina amuachie Karume peke yake?
Pili huu ni mwaka wa uchaguzi Mkuu ndani ya CCM je kwenye nafasi ya uenyekiti JK atagombea na nani?

Nadhani wewe ndio huna akili 2005 Karume alishakuwa raisi na alikuwa anatetea nafasi yake kulikuwa na haja gani ya Bilali kutaka kugombea nafasi hiyo? Chama kiliangalia maslahi ya chama wakati ule kwani tayari tunaye raisi ambaye anatatea nafasi ile ili aendelee kutekeleza ilani za chama, na ndiyo sababu baada ya kushauriwa na alikubali, mbona 2010 hakukatazwa? Ni kawaida kama chama kinatetea nafasi nafasi yake ya uraisi huwa hawaweki wagombea ndani ya chama ili kuepusha migongano, hata Democrat hawafanyi primaries kwa sababu Obama ni Raisi na anatetea hilo pia tukufundishe? utaratibu wa CCM Raisi ndiye anakuwa mwenyekiti hiyo ni katika kuongeza ufanisi wa kazi hivyo mh. Jakaya ataendelea kuwa mwenyekiti. Labda niwaulize Chadema Dr. Slaa tayari ni raisi wa Tanzania?

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Kwa mwanasiasa kijana kama ilivyo kwa Mh Zitto,na kwa hali ya kisiasa ilivyo leo na kwa jukumu la chama chetu cha CDM hasa uchaguzi wa Arumeru na chaguzi zingine zinazoendelea,sidhani kama Zitto haya maneno ya kukimbilia Ikulu alitakiwa kuyasema leo,nadhani pia kiongozi mzuri ni yule watu wanamuona na kuomba au kumshauri a contest for any position,leo ukianza kuwaambia watu unautaka urais,leo hii,inaleta picha tofauti kidogo,na ndio maana watu wengi wame-comment differently.anyway ngoja tuone mstakabli wake kisiasa kama mienendo itakuwa hivi.
 
Ngoja nimkabidhi kwenye mikono ya Paw ili wamtendee haki yake, huwezi kubishana na Gamba lisiloelewa kitu. utaziona salamu zake mimi nimeshamaliza.

Vipi umeishiwa na hoja umebaki na vitisho? kama hujui siasa kaa pembeni acha kuimba usichoelewa Zito ni haki yake hata wewe ukitaka kagombee hiyo ndiyo demokrasia.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Vipi umeishiwa na hoja umebaki na vitisho? kama hujui siasa kaa pembeni acha kuimba usichoelewa Zito ni haki yake hata wewe ukitaka kagombee hiyo ndiyo demokrasia.

Chama
Gongo la Mboto DSM

Kwa hiyo Zitto ni haki yake lakini Billal sio haki yake.Narudia tena unafiki ni kitu kibaya sana.
 
NO ZITO HUJAWA WA KUWA RAIS. DONT THINK WE ARE READY TO MAKE EXPERIMENT FOR THE OTHER PRESIDENT LIKE THE CURRENT ONE. NO ZITO FOR PRESIDENCY. i AM YOUR FAN BUT FOR PRESIDENCY I SAY NO TO YOU ZITO.
 
Kwa hiyo Zitto ni haki yake lakini Billal sio haki yake.Narudia tena unafiki ni kitu kibaya sana.[/QUOTE

Soma kwenye #983 nilishaeleza kwanini Dr. Bilal aliombwa kuondoa jina sina haja ya kurudia

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Kwa hiyo Zitto ni haki yake lakini Billal sio haki yake.Narudia tena unafiki ni kitu kibaya sana.[/QUOTE

Soma kwenye #983 nilishaeleza kwanini Dr. Bilal aliombwa kuondoa jina sina haja ya kurudia

Chama
Gongo la Mboto DSM

Nakuibia tu siri mkuu wagombea urais CDM wanapatikana kwa kufanya research maalum na kamati maalum.Sio kila muhuni kukurupuka na kuropoka kwa nia ya kuvuruga chama.Utaratibu huu wa CDM utaendelea kuenziwa na asiyetaka milango iko wazi kwani vyama vya kihuni viko chungu nzima.
 


"Kwanza niseme wazi kabisa kabisa kuwa Urais ninautaka.

Ninaamini ninao uwezo wa kuwa Rais. Ninaamini nina uzalendo wa kutosha na utashi wa kuleta mabadiliko stahili wa namna nchi yetu inavyoongozwa. Ninajua kuwa nchi yetu imesahau maendeleo ya watu na kujikita katika maendeleo ya vitu. Ninajua kuwa hivi sasa viongozi wetu wengi wanaangalia zaidi mitindo (styles) badala ya mambo ya msingi (content). Ninajua kuwa maendeleo vijijini yamesahaulika. Ninajua nchi yetu inahitaji Uongozi wa kufanya mabadiliko makubwa (transformation) badala ya mabadiliko ya juu juu (cosmetic change). Ninajua 'transformation' inahitaji maamuzi magumu yatakayoudhi wengi na hasa mabwana wakubwa wa nchi za magharibi mfano kuzuia nchi yetu kuuza malighafi tu. Ninajua rushwa, ufisadi na ubadhirifu wa Mali ya Umma ni kikwazo kikubwa cha maendeleo yetu na kwamba lazima hatua madhubuti zichukuliwe kuzuia na kutokomeza ufisadi. Ninajua rasilimali kama Madini, Mafuta na Gesi, Ardhi n.k. ni lazima zifaidishe wananchi wa nchi yetu."
Baada ya kunukuu hiyo hotuba yake nimegundua mambo mengi sana hapa JF kwamba member asilimi 90 humu wanafaa kuwa marais kwa vigezo ainishwa hapo juu. Pia nimeng'amua kumbe huyu kijana ndio mhasisi wa chama cha chadema kuliko hata Dr Slaa na ndio maana amesema kuwa yeye na Mbowe hakuna mwingine zaidi ya hao wawili waliokifikisha chama kilipofika hapo. Jamani Mwenyekiti unamsaliti mwenzi wako unajua hicho ni chama chenu eeh mwekeni zitto agombee basi 2015 ili mshinde kwa kishindo!!! (hehehehehe)
Nadhani mwalimu alitusii sana kuhusu kukimbilia ikulu, mwogopeni mtu huyu kama ukoma tumejifunza kutoka kwa wanaharakati wengi.....kumbukeni zitto kigoma wanampiga chini uchaguzi ujao na kama mnabisha mtaona kwani hamna alichokifanya cha maana. Watu wamekuwa wanahangaika na huduma ya maji, Zitto ameshindwa kuhamsisha hata ujenzi wa vyoo mashuleni yeye amekuwa akienda kama mtalii katika jimbo hilo mara na hummer mara nsa JEEP... sasa wanakigoma wameshamuona mwanaharakati thabiti subirini mtaona miongoni mwao wapendwa wa huko ni...Makulilo kulichukua jimbo hehehehehehehehe usiseme zitto halijui hili....zitto anguko lako linakuja...........ADC wanakuhitaji !!!! zitto bila chadema ni simba bila meno .....by the way rais ajaye ni MKristo taka usitaka so hupiti kama unabisha subiri!!!!!!!! Miaka 10 ya uongozi wa kiislamu umeisha subiri Miaka kumi ijayo labda kama utaweza kujenga hoja ila kwasasa ni either tumsifu yesu kristo au bwana yesu asifiwe ndio atakaye kuwa rais........ndugu zangu mapendo...........


 
Kwa mtazamo wangu, kijana zitto zuberi kabwe yupo sahihi. Kwanza amejieleza vizuri sana kwenye ishu ya kushusha miaka ya kugombea urais, kwamba siyo lzm zitto ndio agombee kuna vijana wengi tu wenye sifa za kugombea nafasi ya urais..(ingawa naamini wenye sifa hizo/wanaofaa huwa ni nadra kuchaguliwa).
Pili kijana ana haki ya kujieleza. Nia yake ni cku moja kuwa kiongozi mkuu wa nchi hii, sioni tatizo kwenye hili.
Halafu kama kweli tunataka kujenga demokrasia ya kweli ndani ya nchi yetu na ndani ya chadema, ni vizuri kutoa fursa kwa mtu mwingine apart from dr. Slaa kugombea nafasi ya urais then dr. Akampa back up while he (dr. Slaa) still on fire. Najua dr. He is very good for the position ila kwa mustakabali wa chama isije kuonekana chama hakina mbadala yasije kuwa mambo kama ya cuf from 1995-2010 mtu yuleyule. Nnachoweza kusema ni kwa wazee na vijana ndani ya kamati za vyama kuwa na busara, hekima, uzalendo wa kweli kutoa maamuzi sahihi ya nani na nini kifanyike.

Salute cdm, one love tanzanians!
 


Baada ya kunukuu hiyo hotuba yake nimegundua mambo mengi sana hapa JF kwamba member asilimi 90 humu wanafaa kuwa marais kwa vigezo ainishwa hapo juu. Pia nimeng'amua kumbe huyu kijana ndio mhasisi wa chama cha chadema kuliko hata Dr Slaa na ndio maana amesema kuwa yeye na Mbowe hakuna mwingine zaidi ya hao wawili waliokifikisha chama kilipofika hapo. Jamani Mwenyekiti unamsaliti mwenzi wako unajua hicho ni chama chenu eeh mwekeni zitto agombee basi 2015 ili mshinde kwa kishindo!!! (hehehehehe)
Nadhani mwalimu alitusii sana kuhusu kukimbilia ikulu, mwogopeni mtu huyu kama ukoma tumejifunza kutoka kwa wanaharakati wengi.....kumbukeni zitto kigoma wanampiga chini uchaguzi ujao na kama mnabisha mtaona kwani hamna alichokifanya cha maana. Watu wamekuwa wanahangaika na huduma ya maji, Zitto ameshindwa kuhamsisha hata ujenzi wa vyoo mashuleni yeye amekuwa akienda kama mtalii katika jimbo hilo mara na hummer mara nsa JEEP... sasa wanakigoma wameshamuona mwanaharakati thabiti subirini mtaona miongoni mwao wapendwa wa huko ni...Makulilo kulichukua jimbo hehehehehehehehe usiseme zitto halijui hili....zitto anguko lako linakuja...........ADC wanakuhitaji !!!! zitto bila chadema ni simba bila meno .....by the way rais ajaye ni MKristo taka usitaka so hupiti kama unabisha subiri!!!!!!!! Miaka 10 ya uongozi wa kiislamu umeisha subiri Miaka kumi ijayo labda kama utaweza kujenga hoja ila kwasasa ni either tumsifu yesu kristo au bwana yesu asifiwe ndio atakaye kuwa rais........ndugu zangu mapendo...........




TATIZO LINALOKUSUMBUA WEWE NA WENZAKO NI KUTOJIAMINI. HAKI YA KIKATIBA I MEAN KATIBA YA NCHI NA KATIBA YA CHAMA CHAKE. SASA KINACHOKUSUMBUA NINI KTK HILO. UNAJUA SISI MIAKA TUNASOMA MTU MPAKA YUKO F6 UKIMUULIZA IVI WEWE UNATAKA KUWA NANI KIPROFESHINO ILIKUWA NI NGUMU SANA KUPATA JIBU LA MOJA KWA MOJA, HAPO UTAMUONA MTU ANAANZA KUHANGAIKA KUSAKA JIBU, THIS WAS BECAUSE HATUKUWA NA CONFIDENCE. LAKINI HIZO NCHI TUNAZOZIONA ZIMEENDELEA MTOTO TOKA CHINI KISHA ELEWEKA ANATAKA AWE NANI. SASA AMBITION YA ZITTO NI KUWA RAIS WALA HANA DHAMBI KATIKA HILO, WEWE UNAYEMPINGA KAMA SIYO AMBITION YAKO MUACHE NA WEWE KOMAA NA AMBITION YAKO YA UFUGAJI NYUKI, BUSTAN, UDAKTARI n.k
 
NO ZITO HUJAWA WA KUWA RAIS. DONT THINK WE ARE READY TO MAKE EXPERIMENT FOR THE OTHER PRESIDENT LIKE THE CURRENT ONE. NO ZITO FOR PRESIDENCY. i AM YOUR FAN BUT FOR PRESIDENCY I SAY NO TO YOU ZITO.

Kuna ka principal pori ya kuwa TZ lazime itawaliwe na makabila madogo madogo. Chini ya hii prinspo makabila kama Sukuma, Nyakyusa, Haya na Chaga hawataweza kutoa rais.

Swali ni, je, hii imetusaidia nini mpaka tulipofika?
 
Miaka 10 ya uongozi wa kiislamu umeisha subiri Miaka kumi ijayo labda kama utaweza kujenga hoja ila kwasasa ni either tumsifu yesu kristo au bwana yesu asifiwe ndio atakaye kuwa rais........ndugu zangu mapendo...........


Kazi kubwa tunayo!..
 
Nakuibia tu siri mkuu wagombea urais CDM wanapatikana kwa kufanya research maalum na kamati maalum.Sio kila muhuni kukurupuka na kuropoka kwa nia ya kuvuruga chama.Utaratibu huu wa CDM utaendelea kuenziwa na asiyetaka milango iko wazi kwani vyama vya kihuni viko chungu nzima.

Nimefurahi sana kujua utaratibu wenu wa "research maalum na wakati maalum" ndio sababu hatuelewani mimi naongelea demokrasia, inakuwaje kama hao wanaofanya research ni wahuni si mtatuletea raisi mhuni? Bahati Tanzania tupo kwenye demokrasia huyo raisi wako wa research Magogoni atakwenda akialikwa kunywa chai!

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Nimesikitishwa saana na habari zilizo enea na kutangazwa na vyombo vya habari siku ya leo kuwa naibu katibu mkuu ana mpango wa kugombe urais, siyo kwamba nimesikitishwa na nia yake! Bali timing yake, hivi ni kweli mheshimiwa ameona huu ndio wakati muafaka kutangaza nia au kuna ajenda nyingine? Kwa kweli I was so furious with the breaking news, kama ni kweli mheshimiwa Zitto umeona ni muda muafaka nitakuwa na wasiwasi na weredi wako! Kila jambo lina majira yake mheshimiwa Zitto!

Sio kuwa hustahiri ila muda huu concentration nadhani imekuwa ni uchaguzi wa Arumeru, imekuwaje wewe ukaona tena ndio muda wako muafaka kwa ajiri ya kutangaza nia yako ya kugombea urais! Au kuna ajenda nyingine? Manaake the attention will definitely be drifted from Arumeru mpaka hoja yako, what is that?huelewi kuwa results zake zitakuwa mbaya?

Kwa kweli nimeanza kuwa na wasiwasi na baadhi ya viongozi kwenye vyama vya upinzani, nilifikiri lengo la vyama ni kuwa na sera mbadara za kumkomboa mtanzania, kumbe naanza kuwa na mashaka, lakini hata kama umewekwa pandikizi, I think you need to be a very introspective pandikizi and muono wako usiwe wa kiafrica I mean thinking of only tomorrow, but uwe unaenda mbali zaidi think of atleast 20 yrs ahead, I can assure you the day will come the rotten System will have to go! Don't be among the leaders who will have to go with the rotten system.

Sory kwa kuandika ujumbe mzito namna hii , ila kwa kweli nimesikitika na kwa kuwa mimi ni mpenzi wa mageuzi without a party,but, you have made me doubt your party if you really have good intentions with our mourning nation.

Nawasilisha
Akina Mudavadi tunao hata hapa Tanzania,huko Kenya Mudavadi kadanganywa na akina Uhuru kuwa ampinge Raila,sasa hapa ndipo naye Zitto anadanganywa na akina...... ili ampinge Slaa,nafikiri Zitto asiwe mzito ajifunze CCM wanavyofanya ,aache kukurupuka sifa zitamponza huyu dogo
 
Akina Mudavadi tunao hata hapa Tanzania,huko Kenya Mudavadi kadanganywa na akina Uhuru kuwa ampinge Raila,sasa hapa ndipo naye Zitto anadanganywa na akina...... ili ampinge Slaa,nafikiri Zitto asiwe mzito ajifunze CCM wanavyofanya ,aache kukurupuka sifa zitamponza huyu dogo

Mfianchi,

Hilo suala la Musalia mudavadi na Raila usilipotoshe mkuu.Kwani ODM Raila ndiye mwenye hatimiliki ya Urais? Kwanza let me declare Interest,Raila ni role model wangu katika siasa na misimamo ukanda huu wa Afrika Mashariki.Lakini hii notion kwamba hastahili kupingwa ndani ya chama nitaikataa.Hatujengi nchi kwa demokrasia ya kisultan kama hiyo

Tuache sanduku la kura liamue,after all hata Mudavadi anajua aki-side Raila atakuwa amefanya uamuzi wa busara kuliko kuungana na akina Uhuru huku akijua Raila anaweza kufanya team up na akina Martha Karua au Charity Ngilu
 
Mfianchi,

Hilo suala la Musalia mudavadi na Raila usilipotoshe mkuu.Kwani ODM Raila ndiye mwenye hatimiliki ya Urais? Kwanza let me declare Interest,Raila ni role model wangu katika siasa na misimamo ukanda huu wa Afrika Mashariki.Lakini hii notion kwamba hastahili kupingwa ndani ya chama nitaikataa.Hatujengi nchi kwa demokrasia ya kisultan kama hiyo

Tuache sanduku la kura liamue,after all hata Mudavadi anajua aki-side Raila atakuwa amefanya uamuzi wa busara kuliko kuungana na akina Uhuru huku akijua Raila anaweza kufanya team up na akina Martha Karua au Charity Ngilu

Mkuu Ben najua pengine mnadhani binafsi nina chuki na nyinyi,tatizo langu ni tunapoamua ku side upande fulani(najua utapinga huna kundi!) alafu tuka side kama vipofu! mnamtetea mno Zitto utafikiri kawa malaika,wengine ingawa tunampenda Dr Slaa lakini huwa tunampa ukweli wazi wazi na ndivyo hata kijana kama wewe unavyopaswa kuwa.

Huu ni muda wa kujenga chama tena mkiwa kwenye kipindi kigumu sana kuishinda CCM.Wakati huu si busara KIONGOZI tena wa juu kabisa kuja na matamko yanayoweza kuhatarisha mshikamano sio tu kisiasa bali pia kibinadamu.ukisoma maandishi ya Zitto unaweza kuona amelenga nini kitu ambacho kinastahili haswa wakati wa uchaguzi na si sasa.Tunalo tatizo la msingi kwa sasa ambalo ni CCM na mfumo ambao tunahitaji kuuvunja kwa gharama yoyote then kama taifa tujipange tukiwa nje ya mifumo hii ya sasa.

Kama hamuoni adhari za matamko kama haya tena kutoka kwa kiongozi wa juu kabisa na ambaye huko nyuma tayari chama kiligawanywa na matamko kama haya si vibaya kama angeyaweka kifuani then ayaibue baadae walau hata hiyo vita ya Arumeru ipite.

Zitto ni mjenga hoja mzuri lakini anakosa hekima na busara ya kujua nini aseme na wakati gani na nini matokeo yake! Ninachokuhakikishia hata kama leo muachiwe Chadema nyinyi hamtadumu pamoja kwa nature zenu! Nifikirie utakavyo lakini huo ndio ukweli kijana mwenzangu,hujachelewa badili mtizamo wako na jipange kwa kuchapa kazi za chama kwa uaminifu na focus kwenye kuikosoa serikali iliyopo madarakani ili chama chako kichukue madaraka na achana na siasa za makundi mapema namna hii.Siasa za makundi zimetufikisha hapa na hatuwezi tena kuendekeza makundi ya kimkakati wa kuchafuana na matamko yasiyojenga chama zaidi ya kujijenga mwenyewe!

HUTAKI UNAACHA!

MTAZAMO
 
Nimesikitishwa saana na habari zilizo enea na kutangazwa na vyombo vya habari siku ya leo kuwa naibu katibu mkuu ana mpango wa kugombe urais, siyo kwamba nimesikitishwa na nia yake! Bali timing yake, hivi ni kweli mheshimiwa ameona huu ndio wakati muafaka kutangaza nia au kuna ajenda nyingine? Kwa kweli I was so furious with the breaking news, kama ni kweli mheshimiwa Zitto umeona ni muda muafaka nitakuwa na wasiwasi na weredi wako! Kila jambo lina majira yake mheshimiwa Zitto!

Sio kuwa hustahiri ila muda huu concentration nadhani imekuwa ni uchaguzi wa Arumeru, imekuwaje wewe ukaona tena ndio muda wako muafaka kwa ajiri ya kutangaza nia yako ya kugombea urais! Au kuna ajenda nyingine? Manaake the attention will definitely be drifted from Arumeru mpaka hoja yako, what is that?huelewi kuwa results zake zitakuwa mbaya?

Kwa kweli nimeanza kuwa na wasiwasi na baadhi ya viongozi kwenye vyama vya upinzani, nilifikiri lengo la vyama ni kuwa na sera mbadara za kumkomboa mtanzania, kumbe naanza kuwa na mashaka, lakini hata kama umewekwa pandikizi, I think you need to be a very introspective pandikizi and muono wako usiwe wa kiafrica I mean thinking of only tomorrow, but uwe unaenda mbali zaidi think of atleast 20 yrs ahead, I can assure you the day will come the rotten System will have to go! Don't be among the leaders who will have to go with the rotten system.

Sory kwa kuandika ujumbe mzito namna hii , ila kwa kweli nimesikitika na kwa kuwa mimi ni mpenzi wa mageuzi without a party,but, you have made me doubt your party if you really have good intentions with our mourning nation.

Nawasilisha
Jamani kosa la Zitto nini? wengi mnasema nguvu kubwa mmehamishia Arumeru Mashariki what is so special? Kwani pakitokea chaguzi ndogondogo CDM hatuwezi kufanya kazi nyongine? Zitto alikuwa Mbeya katika kampeni za udiwani je mchango wake hamuuoni? The guy is smart, ila watu mna majibu ya 2+2 =4 nevertheless. Hizo ni changamoto za kisiasa. Amesema ninautaka urais lakini Chama chake kina taratibu zake na mwisho wa yote wananchi wapiga kura ndio waamuzi. Mnaweza kumpendekeza mgombea wenu lakini wapiga kura wakamkataa. Mbona mmeshapendekeza wagombea wengi kugombea urais wapiga kura wakasema kura hazitoshi.HEBU ENDELEZENI DEMOKRASIA YA UKWELI NA SI MANENO YA GHILIBA. ACHENI TABIA ZA CCM.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom