Siku zitto akipewa uenyekiti wa Chadema, wa kwanza mie naihama CCM na nnahamia Chadema.
Lakini, nnavyojuwa Chadema wanarithishana kutoka Baba Mkwe mpaka Mkaziamwana.
umehama lini KAFU.... au ulikua una maana utahama CCM-B ..... haa haaaaaa
Siku zitto akipewa uenyekiti wa Chadema, wa kwanza mie naihama CCM na nnahamia Chadema.
Lakini, nnavyojuwa Chadema wanarithishana kutoka Baba Mkwe mpaka Mkaziamwana.
CRAP! kama vatar yako.............kweli peoples power
Umefanikiwa utunzi ila tumekugundua umetumwa wewe,CDM si NCCR, TLP au CUF hainunuliki na ZITTO anajiko kwa JK na kwa MAFISADI kuganga njaa na hana uwezo wa kuiongoza CDM sanasana anatumiwa na wanaotaka urais 2015 lakini atashindwa vibaya.
Mkuu hiyo ni taarifa, Uchonganishi uko wapi?Uchonganishi na umbeaaaaa! Hali ya hewa ya CCM unataka kuileta Chadema.
thread ya Uchonganishi, HAINA MASHIKO
Gurti
Bifu ni Slaa na Zito, Slaa ana chuki na anamuogopa Zito, najua kuwa alipopata kura milioni 2 aliringia na kusema Zito hajawahi kupigiwa kura kama hizo
Re: Zitto kuwa mkiti wa chadema taifa?
Rafiki yako hakukueleza ukweli nilichosikia mimi ni kwamba Zitto anaandaliwa kuwa mufti wa waislamu Tanzania kutokana na kuwa na elimu ya kuridhisha, kwani huyu mufti wa sasa hivi akikaa kikao meza moja na maaskofu hawezi kuwa napointi ya kuongea kwa sababu ni darasa la saba, huo ndio mkakati uliopo kwa sasa kwani licha ya swala la umri wake kuwa mdogo, imethibitishwa kwamba hakuna umri maalum wa kuwa mufti, na kuhusu kitakuwaje awe mufti wakati zitto haswali sala tano, hoja hiyo ilipanguliwa kwamba kuna viongozi wengi tu wa Bakwata ambao ni wakristo na wengine ni masheikh lakini wanamiliki bar za kuuza pombe, na wengine wameoa wanawake wakristo lakini hawajafunga ndoa za kiislamu. nitaendelea kuwapa update hizi kwa kadili ninavyozipokea.
Siku zitto akipewa uenyekiti wa Chadema, wa kwanza mie naihama CCM na nnahamia Chadema.
Lakini, nnavyojuwa Chadema wanarithishana kutoka Baba Mkwe mpaka Mkaziamwana.
Hizi hoja za ubaguzi wa namna hii mnazitoa wapi wapi? Hii sasa inakera sana, hv tumekosa hoja za kuzungumza mpaka tuanze kueelezea mambo ya kibaguzi kama haya? Huu sasa utoto, yaleyale ya UVCCM na Vigogo wa CCM.Wakuu,
C) Tatu, Chama chetu kinonekana au kinatuhumiwa kuwa chama cha Wachagga . Hivyo mimi nitamaliza hoja hiyo ili tushinde 2015. Ndani ya mkakati huu anategemewa kuchota kura toka mikoa yote isipokuwa wachaga. Wanategema kutumia fitina ikibidi hasa kama mbowe atagombea tena. Ikionekana Mbowe ana nguvu watamlazimisha kwa kashfa iwe iwavyo.
D) Mbowe na Slaa wote wawmetoka kaskazini, SASA ni muda muafaka na kanda zingine nazo ziongoze CHADEMA kama tumekomaa na tunataka kuingia ikulu.Hoja hii nayo inategewa kuwapa nguvu mikoa mingine. Tayari wapambe wako kazini isipokuwa kanda ya kaskazini.
E) Kete kubwa kuliko zote ni kuwa, kwa kuwa Chadema inatuhumiwa kwa udini na waislamu, mimi ndiye suluhisho pekee. Hapa tayari kuna watu wamesambazwa kwa wajumbe ambao ni waislamu ndani CDM ili wamwuunge hasa wale wanaoonekana kuwa wataweza kumaintain nafasi zao na kuwashawishi potetial leaders to be. Kumbuka uchaguzi wa taifa utafanyika baada ya chaguzi za ngazi ya chin kuisha kote nchini.
Humbly I submit.
Kigoma is firmluy behind me and I dedicately serve them. Don't ever under estimate watu wa Kigoma.
Uwongo na propaganda. Kuna watu hawana raha bila kuandika kuhusu Zitto. Wanaugua ugonjwa wa zittophobiasis!
I challenge huyu rafiki yangu atajwe humu ndani.
Yote haya ni habari za kusadikika kwa malengo maalumu.
Hapakuwa na makubaliano yeyote kwamba uchaguzi wa chama ujao nitagombea. Kila mwana chadema ana haki ya kugombea na sio Zitto peke yake kama inavyorajibu kujengwa.
Acheni hila la kutuvuruga. Acheni tujenge chama chetu. Thread kama hizi zina lengo moja tu, kutugawa viongozi wa chama.
I have full trust to the current leadership and I am totally loyal to the Leadership of the Party under Rt.Hon. Freeman Mbowe!
Heee, hiyo mikakati inatishia uhai wa CHADEMA manake kusema ukweli tuhuma hizo za ukasikazini na udini zipo masikioni mwa watu. Nadhani kuna watu wanzisambaza kwa makusudi. Kwa kutumia hiyo mikakati naona kuna hatari ya Zitto kushinda, amejipanga. Hivi unakumbuka JK alipochukua form ya kuomba ridhaa ndani ya CCM ili achaguliwe kuwa mgombea wao mwaka 2005 pale Kibaha, aliulizwa je ukishindwa, akasema hapa hakuna kushindwa na kweli alishinda. Tusubiri tuone ya Zitto.
Kigoma is firmluy behind me and I dedicately serve them. Don't ever under estimate watu wa Kigoma.