Baba Paskali,
Salaam, Mkuu kwa kweli sikatai hoja zako na mtizamo wako kwa Kiongozi wa ACT Wazalendo ZZK, Kwa kweli moja ya sifa ya mwanasiasa ni maono na maono chanya, hakuna kiongozi asiye na maono.
Lakini linafika suala la nani kuwa nani ni Mipango ya Mungu, Rais ni cheo cha mwisho kabisa katika uongozi wa nchi, Lakini lazima ukumbuke kuwa MUNGU ndiye anayewaweka Wafalme, Rais ni Mfalme hata kama ni kwa muda maalum lakini ni Mfalme.
Rejea Biblia:
A:Mungu alipomtuma Samwel kumpaka mafuta Saul kuwa mfalme wa Israel
B.Mungu alipomtuma Samwel kumpaka mafuta Daud,
Kwa hiyo wafalme wote ni chaguo la MUNGU.
Zitto anasema ana uzoefu? Uzoefu gani? Ukimsikiliza vizuri utagundua anatamani madaraka ... ile hali ya kutukuzwa na siyo kubadilisha maisha ya Watanzania. Kama nchi tuna tatizo, maana kijana mdogo kama Zitto hajawahi kufanya kazi zaidi ya utalii wa kisiasa.
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025
“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.
“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto
Video: Mwananchi
Roho yake na sura yake ni mbaya ana chuki, chiki na udiniAendelee kuota
Lini kama ni 2025 haiwezekani kwani chama chake kilisema kitafanya kazi na mama kwa miaka 9
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025
“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.
“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto
Video: Mwananchi
Hapana mm ndo natatizo dogo,ila zitto iq yake ni njema ila msijali tunakajenga kaache ukigoma na kufake ,ila naapa Zitto is a deal,ngoja tukazungushe kagrow huyu anafaaAYATOLLAH ZITTO ZUBERI KABWE
Sema kipenzi Chako,Hahahahah labda wa Mwandinga tu. Zitto ana tabia za kirundi kirundi. Yaani ni kama mhutu mhutu, chuki zisizokuwa na maana. Yaani uutake urais wakati unamtukama mtu ambaye alikuwa rais na kipenzi cha watanzania?? Hakika Zitto atakufa bila kuwa rais na it will never happen under the system, maana kauli zake zipo rekodedi vizuri kabisa na zitabaki kizazi hadi kizazi. Mnafiki sana mdini na mkabila na hafai
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa ndoto yake siku moja ni kuiongoza Tanzania akiwa katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
"Mimi urais nautaka, sababu naamini nina uwezo, nina maarifa, nina uzoefu wa kutosha katika siasa kuweza kuiongoza nchi yetu kupiga hatua mbele, lakini siwezi kusema moja kwa moja kuwa nitagombea Urais waka 2025
“Uamuzi wa kugombea unatokana na kudra za Mwenyezi Mungu chama lazima dhamana na baadaye wananchi watoe dhamana.
“Pia kuna kilio cha ushirikiano wa vyama vya upinzani ili kupambana dhidi ya Chama Cha Mapinduzi, kama tutashirikiana inawezekana mgombea nikawa mimi au nisiwe akawa mwingine,” Zitto
Video: Mwananchi
Zito anakubalika sana huku kusini Lindi na Mtwara mtaji wa kuanzia anao haswaa na si wengine Bali ni sisi Wana korosho wa Kusini, tuna commonality flani Kati yetu wanakusini na Wanakigoma, kiufupi tuna historia ya kutengwa kwenye mikakati ya maendeleo kwenye hii nchi tangu ukoloni hadi uhuru.Kama anamchukia alokuwa Rais wetu kipenzi cha watanzania alotangulia mbele za haki Jemedari, Jembe, Jeshi (JPM), labda awe Rais wa Wasafi Classic Baby (WCB)
Sasa unataka tubishane juu ya hili pia? Muda huo huwezi kuutumia kufanya jambo jingine la maana?Yupi aliyedai kuwa COVID 19 haukuwepo Tanzania? Huwa unafuatilia mambo kweli wewe? Kuna wakati ni bora kukaa kimya!
Mkuu, hakuwahi kuwa "sahih"i kwa lolote.Hakuna mahali magufuli aliwahi sema corona haipo.
Alichokua anapingana nacho ni njia za kupambana nayo. Ambayo alikua sahihi.
Ambapo baada ya muda zimekuja kutumika na wengine.