johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,168
- 142,295
Akiongea na waandishi wa habari KC Zitto Kabwe wa ACT wazalendo amesema kampuni ya Mayanga Construction iliyoshiriki ujenzi wa Chato International Airport ni ya hayati Magufuli.
Je, taarifa hizi zina ukweli wowote au ni uzushi uliozoeleka wa Zitto?
Nchi ngumu sana hii!
Je, taarifa hizi zina ukweli wowote au ni uzushi uliozoeleka wa Zitto?
Nchi ngumu sana hii!