TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Maelfu ya wananchi wa mji wa Songea wamejipanga barabarani hivi sasa kumpokea naibu katibu mkuu wa chadema Zitto Zuberi Kabwe anayetarajia kuwasili mjini hapa muda mfupi ujao akitokea Mbeya na moja kwa moja ataelekea kwenye uwanja wa mkutano shule ya msingi madizini kata ya Lizaboni kazi ni moja tu kuwazika CCM katika uchaguzi mdogo wa udiwani.
Nitaendelea kuwajuza moja kwa moja toka viwanja vya kampeni. Watu ni wengi kwa kweli.
Nitaendelea kuwajuza moja kwa moja toka viwanja vya kampeni. Watu ni wengi kwa kweli.