Kumaanisha nini kwa lugha ya nchi yetu?God was already left Africa.
Kumaanisha nini kwa lugha ya nchi yetu?God was already left Africa.
Lakini maandiko yanasema...Jesus will come backSi Umemwelewa. In short we're alone, God is not with us for every ushenzi tunaoufanya.
Cha kwako kiko wapi tulinganishe?Kiiingereza gani hiki jamani? BAVICHA mnatia aibu
Kambarage Nyerere angekuwa na akili za watu kama nyie, leo hii Tz ingekuwa bado inatawaliwa na mkoloni wa kizungu! Wewe unafikiri huu uhuru wa bendera ambao mna-enjoy ulipatikana kwa kujipendekeza kwa wakoloni?Hawa jamaa watamaliza miaka mitano, kwa kukamatwa kamatwa tuu hili wasipotee kwenye game, mpaka uchaguzi ufike.
Hivi nikikupa LIKE inakuwa ni uchochezi?? sincerely pokea like yangu.Daah!! Kwa Hiyo Mungu alishatuacha Tuangaishane wenyewe, Oohooo God Why did you let me born in Africa. Jamani Miafrica Pumbafu Kabisa Sisi.
Katuachia haya madiktetaGod already left Africa.
Bora hata ya mazombi kuliko haya mashetaniKwa hiyo tuko wenyewe tunajiendea kama mazombi
Siyo TanzaniaHuyu Rais wetu anachokitafuta atakipata.
Sijui ni kwa sababu elimu yake nayo ni ya kuungaunga hivyo hailewi mambo mengi kwa sababu ya kutojua kusoma kiingereza lakini ajue walikuwepo marais wenye kiburi na wanaongoza nchi zenye nguvu kabisa lakini waliishia mwisho mbaya. Au pegine anapigwa upofu kama ule wa Farao ili tuweze kuingia kwenye Tanzania mpya?