UNDENIABLE
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 2,326
- 1,314
- Thread starter
- #21
Huyu kila mara nawaambia ni mate wangu chuo na alibebwa na anabebwa hamtaki kuelewa, si mnaona wengine wanaofanya siasa chuoni mikataba ikiisha basi, yeye ndo anapeta, ndo maana nakuwambie iwapo ZZK yuko na huyo prof lazima anatumiwa na serikali ya CCM. haina ubishi na ACT inabebwa si unaona uchaguzi eti kilipaa, wanatumia kuwahadaaa wananchi kuwa ZZK anapendwa ili hali kigoma penyewe kura zake zilikuwa zinashuka kila uchaguzi, madiwani walishuka hadi 2 kutoka 11, CCM bwana na ZZK wao ni hatari tupu. JANJA YA NYANI KISHA JUA
Duuuuu.....aisee hii ni hatari sana!