Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Ni kweli kuwa ZITTO anaonekana anajifanya ni zaidi ya CDM lakini ukweli ni kwamba ZITTO ni mwanasiasa mkubwa, kwa mfumo wa siasa za chadema anakuwa kama kontena kubebwa na vitz. ZITTO anatakiwa awe kwenye chama kikubwa au akibadilishe CDM kiwe kikubwa na viongozi mbumbumbu kama MBOWE, MSIGWA na SLAA ambao hata elimu zao hazieleweki wakae pembeni. Majembe kama Prof. BAREGU, Dkt. MKUMBO, Prof. SAFARI, advocate MARANDO na wengne washke chama. Hakuna atakaekuwa na wazo kuwa anasalitiwa. Woga wa MBOWE na vilaza wenzake ndo unaleta mambo ya kuona KABWE ni zaidi ya chama.
Umenena mkuu