NAKUUNGA MKONO NDUGU YANGU, THE BETTER TOMMOROW YA WATOTO WETU NDIO IMEKUFA KABISAA. Kenya , Botswana, Lethoto, Ivory Cost wametuacha sana kimaendeleo. Hii yote ni ghambi ya TAKURU ! uSIOMBE KUWAPA UONGOZI NA DHAMANA WATU WALIOONJA CHUKI YA KIKOMUNISTI YA KUMTESSA MWANANCHI MWENZIWE. hUKO cuba , kOREA kASKAZINI NA urussi, WNANCHI WAO WANAKIONA CHA MOTO. Sasa tufanye nini , maana hata tukitaka kuletwa kwa adhabu ya kifo, WAlioba na Salim Salim sikui kama wataingiza hiyo Hoja. Tukitaka TAKURU iwe huru utasikia kipingamizi kutoka kwa hao hao Mafisadi, Ukitaka mahakam kuu iwe huru, utakuta kipingamizi kutoka kwa wabunge. emusoke, emusoke twahelela! Mungu wangu mungu wangu tunakufaaaaaa! Nzambe, mtu mwindo wa kutanzania, akulala wapiii? mungu mtu mweusi wa tanznaia kakukosea nini? God, am crying to the top of my lung, hear my prayers!Kwenye hili la mapesa ya uswisi nimeona Mh.Zitto akiwa makini japo serikali ya CCm haiwezi kukubali kuumbuka na kwakweli tuna safari ndefu ili kuifikia Tanzania tuitakayo.......!!!!Big up mh.Zitto na upinzani bungeni.
Sawa Zitto ila fanya kama kuwafungua macho waTZ usifanye kama karata ya kutaka urais. Hii kutaka taka urais inatuboa sana.
Or is it? Then everything about this country is a HOAX just as the country itself is....maybe
Vuta picha Chadema ingekuwa imeshika dola wao walio ndani ya makabrasha ya Zitto n wengineo walio na ma_swizz accounts ingekuwaje?? Bado nina imani na Chadema kuwa ndo suluhu ya nchi yetu kupiga hatua ktk nyanja zote.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hivi kuweka pesa zangu uswiss nilizozitafuta kwa juhudi zangu ni kosa? Kuishi nchi zinazoendelea Bwana majungumajungu tuuu!!!!Kinachofurahisha ni kuwa kelele za chura hazimtishi mchota maji!!Mkuu wengi wetu tunataka hata kamasi tupengwe!! Uwezo wetu uko chini kiongozi na wakati mwingine hata tukitajiwa.. tunakataa kwa sababu wanaweza kutajwa wapendwa wetu...
Inasikitisha sana!
Kwenye hili la mapesa ya uswisi nimeona Mh.Zitto akiwa makini japo serikali ya CCm haiwezi kukubali kuumbuka na kwakweli tuna safari ndefu ili kuifikia Tanzania tuitakayo.......!!!!Big up mh.Zitto na upinzani bungeni.
Kama kweli hizo pesa zipo huko ughaibuni sheria zinasemaje? Za kitaifa na kimataifa? Huyu Membe atujuze hela za nani na kwa nini ziko huko. Kwani benki zetu zimejaa? Kwani kuna dhambi kujua kila mtanzania ana sh ngapi benki? Ukweli na uwazi uko wapi?