ArchAngel
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 4,516
- 3,755
You tell me man.kwa hiyo controller alikuwa anacontrol nini sasa?
Rais amepeleka wapi 1.5 trillion?
Rais kaamua kuwa treasurer mwenyewe wala hakulazimishwa. Atueleze tu watanzania ni wapi kapeleka hizo fedha.
Jingalao, wewe nawe ni mtanzania kama mimi. Ina maana hili swala halikuumizi moyoni kweli?