Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
By.
Zitto Kabwe: Kwenye siasa ya nchi Kama zetu busara ya mapambano ni Jambo la msingi sana. Kama Nape wa CCM anaunga mkono hoja ya upinzani kuhusu posho, asibezwe wala kuzodolewa.
Anapaswa kuungwa mono ili kuongeza Jeshi na kumkinga dhidi ya wapenda posho ndani ya chama chake. Akibezwa, siku nyingine Batak ga mono Jambo hata Kama ni jema kwa nchi.
Hii ndio huitwa hekima za harakati. Nimesikitishwa sana na wanaobeza kauli ya Nape kuhusu posho za Wabunge
Zitto Kabwe: Kwenye siasa ya nchi Kama zetu busara ya mapambano ni Jambo la msingi sana. Kama Nape wa CCM anaunga mkono hoja ya upinzani kuhusu posho, asibezwe wala kuzodolewa.
Anapaswa kuungwa mono ili kuongeza Jeshi na kumkinga dhidi ya wapenda posho ndani ya chama chake. Akibezwa, siku nyingine Batak ga mono Jambo hata Kama ni jema kwa nchi.
Hii ndio huitwa hekima za harakati. Nimesikitishwa sana na wanaobeza kauli ya Nape kuhusu posho za Wabunge