kilema
Member
- Feb 23, 2009
- 59
- 0
Hii ndio gharama ya umaskini wa akili na utajiri wa mali ya kifisadi.Hakuna maelezo ya kueleweka kuhusu nishati hii. Hili tatizo limeanza wakati wa awamu ya pili mpaka leo. Je mipango ya Muda mrefu ya serikali iko wapi toka wakati huo?
Kila siku mipango ni ya muda mfupi tu au viongozi wetu hawa wanatarajia kuishi muda mfupi na hivyo kujali tu kipindi watakachoishi? Ufisadi! mmm kimya wasisikie
Kila siku mipango ni ya muda mfupi tu au viongozi wetu hawa wanatarajia kuishi muda mfupi na hivyo kujali tu kipindi watakachoishi? Ufisadi! mmm kimya wasisikie