Teh kina Msukuma na Lusinde ?
Hapana kwa kweli
InawezekanaEt wanasema ndo Demnis
Mkuu naomba link ya ripoti ya IMF aliyotoa zitto,...Alisema Leo but mm sijaiona?Naamini jamii forum inawanachama wa vyama vyote,kwa nini wabunge wa ccm hamji kumwaga data humu jamvini?
Mbona zito hajifichi
Huna haya boss wenu anatudanganya kwamba Mambo yako.sawasawa kumbe NI kinyume. Report za IFM & CAG zimemvua nguo...Zitto mbona tunamkimbiza sana hapa JF, wabunge waje kutafuta nini humu wakti wananchi wapiga kura wa wabunge wa CCM tupo makini kujibu kila uongo wa mtu yeyote. Nadhani waendelee kuhimiza maendeleo kwenye majimbo yao, acha sisi tupambane na wanafiki na waongo kama akina Zitto.
Mbona kila likija suala la Mh Zitto wewe unakimbilia Ubunge wake?? Kwani asipokuwa Mbunge ndiyo hataishi?? Mbona wewe na mimi sio Wabunge na maisha yanasonga?? Watu Dhaifu hawawezi kuja humu kwani hata hoja zao zitakuwa DHAIFU.Hahaha Zitto ni liongo sana, yaani ni bonge la liongo. KIbaya 2020 lilishatoswa ubunge hapo KGM, sasa anahaha kuanzisha habari za uongo uongo
wahi hospital mapema ...hii ni dalili ya malaria kuanza kupanda kichwani....zitto hawezi shindwa ubunge kgm mjn...hata mkihamishia majeshi yote....Hahaha Zitto ni liongo sana, yaani ni bonge la liongo. KIbaya 2020 lilishatoswa ubunge hapo KGM, sasa anahaha kuanzisha habari za uongo uongo
Wabunge wa CCM wana hoja gani labda kwa mfano???Naamini Jamii Forums inawanachama wa vyama vyote,kwanini wabunge wa CCM hamji kumwaga data humu jamvini?
Wewe hata nzi huwezi kumkimbiza utaanzia wapi kumkimbiza Zitto ??Zitto mbona tunamkimbiza sana hapa JF, wabunge waje kutafuta nini humu wakti wananchi wapiga kura wa wabunge wa CCM tupo makini kujibu kila uongo wa mtu yeyote. Nadhani waendelee kuhimiza maendeleo kwenye majimbo yao, acha sisi tupambane na wanafiki na waongo kama akina Zitto.
Naamini Jamii Forums inawanachama wa vyama vyote,kwanini wabunge wa CCM hamji kumwaga data humu jamvini?
Kwa taarifa yako kijana wewe na ZZK wako hamuniwezi kabisa, wewe ni mchumia tumbo kama mwenzako ZZK. Zitto wenu ni liongo liongo tu kisa linatafuta rushwa, safari hii limekomeshwaWewe hata nzi huwezi kumkimbiza utaanzia wapi kumkimbiza Zitto ??
Unaweza kuweka hapa uchambuzi wako kuhusu report ya IMF ???
Tuanzie hapo kwanza.
Wameanza kuweka masingira ya kuiba kura zake km iringa na mbeyaMbona kila likija suala la Mh Zitto wewe unakimbilia Ubunge wake?? Kwani asipokuwa Mbunge ndiyo hataishi?? Mbona wewe na mimi sio Wabunge na maisha yanasonga?? Watu Dhaifu hawawezi kuja humu kwani hata hoja zao zitakuwa DHAIFU.
Majority ya wabunge hao ni BBC yaani
Born before computer, wanaogopa computer na jamii yake, wanazo simu janja lakini hawatumii zaidi ya facebook kidogo na whatsapp tena kwa baadhi ya module amini hili!!
NimemKaribisha kibajaji AKA lusindeNaamini Jamii Forums inawanachama wa vyama vyote,kwanini wabunge wa CCM hamji kumwaga data humu jamvini?