W.J Malecela,
Mkuu wangu hapa utakuwa unakosea kabisa kuchanganya Ujamaa na malipo ya posho kubwa kwa Wabunge, jambo ambalo hata kiasilimia halina mvuto kabisa. Ebu fikiria tu, Marekani ni ndio Mabepari, halafu waambiwe kwamba viongozi na watumishi wa serikali wametengewa posho zinazozidi asilimia 7 ya bajeti nzima ya nchi kweli kutakalika?..
Sasa hawa ni Marekani ambao sisi hata ukubwa wa mkia wa mbuzi kiuchumi hatuna ukilinganisha nao iweje kweli tusahau kwamba matatizo yetu, umaskini wetu unatokana na UFISADI kwani ufisadi hauishii kwa kina magamba pekee bali hata sheria za kodi, posho, mikataba, urasimu, ukiritimba na mengineyo yote yanachangia ktk kudhoofisha uchumi wetu.
Halafu basi hivi kweli mnataka kunambia kwamba Liberal au Democratic kina Obama ni Wajamaa? (Masocialist) sio Mabepari?, naomba ushahidi tosha wa ku prove hili kimaandishi.
Katika swala la Zitto nimemwona mhuni tu pale aliposema yupotayri kwenda kuvua dagaa! mhhh mbunge wangu Sharobaro kweli ataweza kuvua dagaa au ndio ktk kuchangana madawa!
Mkuu wangu hapa utakuwa unakosea kabisa kuchanganya Ujamaa na malipo ya posho kubwa kwa Wabunge, jambo ambalo hata kiasilimia halina mvuto kabisa. Ebu fikiria tu, Marekani ni ndio Mabepari, halafu waambiwe kwamba viongozi na watumishi wa serikali wametengewa posho zinazozidi asilimia 7 ya bajeti nzima ya nchi kweli kutakalika?..
Sasa hawa ni Marekani ambao sisi hata ukubwa wa mkia wa mbuzi kiuchumi hatuna ukilinganisha nao iweje kweli tusahau kwamba matatizo yetu, umaskini wetu unatokana na UFISADI kwani ufisadi hauishii kwa kina magamba pekee bali hata sheria za kodi, posho, mikataba, urasimu, ukiritimba na mengineyo yote yanachangia ktk kudhoofisha uchumi wetu.
Halafu basi hivi kweli mnataka kunambia kwamba Liberal au Democratic kina Obama ni Wajamaa? (Masocialist) sio Mabepari?, naomba ushahidi tosha wa ku prove hili kimaandishi.
Katika swala la Zitto nimemwona mhuni tu pale aliposema yupotayri kwenda kuvua dagaa! mhhh mbunge wangu Sharobaro kweli ataweza kuvua dagaa au ndio ktk kuchangana madawa!