Zitto alipuka tena bungeni

Watanzania tukisema tuwaunge mkono wapigania raslimali ni mwaka mmoja tu mafanikio tutayaona but tatizo kila mpiganaji hapewi support, let join our hand and support Zitto for what he is doing.
 
Muelewe Zitto mkuu.....alichosema ni kumkumbusha mada kuwa anachosema waziri sio kweli na ushahidi uko kwenyetaarifa ya kamati ya Zitto ambayo speaker anayo ofisini kwake

ina maana speaker kama ilivyo 'kwa bahati mbaya sana'waafrika wengi hatuna utamaduni wa kusoma,mfano wa karibu ni rais kusaini muswada kuwa sheria bila kuusoma.Mwanazuoni mashuhuri pof.ali mazrui alipata kusema UKITAKA KUMFICHA KITU MWAFRIKA WALA USIHANGAIKE SANA WEKA KWENYE MAANDISHI.
 
Ningeshauri katika mapendekezo ya katiba mpya spika wa bunge la jamhuri la muungano wa tanzania asiwe ametoka kwenye chama chochote. Awe independent ili aweze kusimamia vizuri shughuli za bunge maana sasa hivi huyu spika anaonekana kuitetea chama chake tawala na serikali kwa hiyo haki za kimsingi zinazotolewa na wabunge hasa wa upinzani anakua anaziziba. Hapo hakuna haki wala usawa.
 
Nini maana ya kufanya re-submition? ni uchizi na kwamba hata huyo mama si mtendaji! yaani kamati itakuwa inafanya kazi ya kure-submit everyday! shame mama makinda hebu tafadhali jiheshimu na waheshimu pia watanzania! mama tunauchungu sana nawe jinsi ambavyo unawanyima wabunge wetu haki zakusema ukweli!
Wadau huyu mama ikiwezekana atunguliwe mawe kama popo!
 
uyu Zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.
We ndo una masifa kuleta upinzani wa kijinga...
Nenda kampikie mumeo acha wanaume wafanye kazi
:shut-mouth::shut-mouth:mad:##$$%%^^%&^&*&^^^%$#@@@:shut-mouth::shut-mouth:
 
Inabidi tufanye lolote lile kwa vyovyote vile tuwan'goe hawa wakoloni weusi CCm madarakani la sivyo hali itazidi kuwa mbaya na hichi kimama kinatumika vibaya yaani kimesahau watanzania kazi yake ni kulinda tu hao mafisadi, yaani kana roho mbaya kama sura yake.
 
Mhh mkuu siku nyingine usiseme haya,biblia haikuandikwa mwaka 1884. Kuna maandiko yameandikwa kabla ya kristo (Agano la Kale) na Maandiko yameandikwa karne ya kwanza hayo yaliandikwa ili kuwatawala waafrika? Nakuomba usifanyie mzaha maandiko yenye pumzi ya Mungu soma 1Timothy 3:16-17

Ukiwa nyuma ya keyboard jaribu kuhusisha ubongo wako lakini kikubwa uwe na hofu ya Mungu (Fear of the Lord). Nani kakwambia Biblia ni kama katiba ya Tanzania ambayo inaandikwa na kurejewa kuendana na wakati?? umesahau maandiko yanayosema Yesu Kristu ni yuleyule jana,leo na milele. Yesu ni Neno hivyo hii ina maana Neno la Mungu liko hivyo Jana,leo na Milele!

Wanadamu watajaribu kuchakachua revelations lakini neno la Mungu litasimama.
Lukolo

na kwa taarifa yake, maandiko hayana tatizo, watumiaji wadokozi wa maandiko ndo wanao yakosea adabu kwa kuyatumia ndivyo sivyo. Paulo anamwambia Timoteo, "ukitumia kwa halali Neno la kweli" natahadharisha: huna uhalali wa kuitumia Biblia ama yaliyo andikwa humo kama si muumini na mfuasi wake. Kama wewe ni muumini wa "Udaku" chukua kotesheni huko, utuachie Biblia, please.
 
Last edited by a moderator:
Miongoni mwa maandiko magumu sana niliyowahi kusoma ni yale yanayosema

"Wapendeni Adui Zenu, Waombeeni Wanaowaudhi"

Jifunze kupenda hata unaowachukia akiwemo spika



Mkuu ni ngumu sana hiyo, je wewe unaweza?
The way the cookie crumbles
 
uyu Zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.
Wewe Judi unashirika moja na wezi nini, mtu alete taarifa za kutuokoa na kuokoa taifa wewe unaleta za kuleta, vipi wewe???????

 
Mh Zitto leo, hivi punde, alitoa taarifa kwa Spika kuwa maelezo ya Waziri na Naibu Waziri wa Nishati na Madini kuhusu sakata la Mgodi wa Kiwira ni ya uongo mtupu na akafafanua jinsi Ufisadi wa kusikitisha ulivyofanyika, Spika akadai kuwa taarifa hiyo iletwe kwake kwa maandishi ili Serikali iweze kujibu, cha kushangaza Zitto akamjulisha Spika kuwa taarifa hiyo ipo kwake Spika kwa maandishi labda apelekewe upya, nae Spika Anna Makinda bila kusita akajibu "ndiyo ilete upya!" Sasa wanajamvi wenzangu sijui mumemuelewaje Spika anavyofanya jazi yake! Ina maana hasomi taarifa sensitive kama hizo au anapuuza kwa vile zimeongozwa na wapinzani au anawalinda mafisadi kwa makusudi?
Hilo ni swali nyeti, iweje asisome taarifa aliyoletewa anapostuliwa anadai taarifa tena kwa maandishai akiambiwa anayo anasema iletwe tena kwa maandishi kwa vipi?????Is she serious indeed,or trying to water down the well researched data and motion by our diligent Brother Zito?????
 
uyu Zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.

kutafuna sio issue sana, ila kama unatafuna na unaowaongoza hawapati shida kama za sasa is well and good! hivyo nampongeza kijana kwa kazi njema ya kujitoa muhanga "anajiamini" maana marehemu A.Chifupa walimuondoa sekunde tu
 
uyo mama spika inamana rpoti ya kwnza alfungia mandaz nin.huo ni ukiazi huyu spika angekua mshka kifimbo kile pale mbele mjengon.
 
Back
Top Bottom