Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Mbona una weweseka mpaka watoa povu bure wakati alichoambiwa ni alete upya kwa maandishi. Na yeye zitto amekubali shida ipo wapi?
Hao ni ma_pro CDM>
Mbona una weweseka mpaka watoa povu bure wakati alichoambiwa ni alete upya kwa maandishi. Na yeye zitto amekubali shida ipo wapi?
uyu Zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.
sawa mkuu lkini ukumbuke njo vile kuna makanisa mengi sababu ya tafsiri
Muelewe Zitto mkuu.....alichosema ni kumkumbusha mada kuwa anachosema waziri sio kweli na ushahidi uko kwenyetaarifa ya kamati ya Zitto ambayo speaker anayo ofisini kwake
We ndo una masifa kuleta upinzani wa kijinga...uyu Zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.
Mhh mkuu siku nyingine usiseme haya,biblia haikuandikwa mwaka 1884. Kuna maandiko yameandikwa kabla ya kristo (Agano la Kale) na Maandiko yameandikwa karne ya kwanza hayo yaliandikwa ili kuwatawala waafrika? Nakuomba usifanyie mzaha maandiko yenye pumzi ya Mungu soma 1Timothy 3:16-17
Ukiwa nyuma ya keyboard jaribu kuhusisha ubongo wako lakini kikubwa uwe na hofu ya Mungu (Fear of the Lord). Nani kakwambia Biblia ni kama katiba ya Tanzania ambayo inaandikwa na kurejewa kuendana na wakati?? umesahau maandiko yanayosema Yesu Kristu ni yuleyule jana,leo na milele. Yesu ni Neno hivyo hii ina maana Neno la Mungu liko hivyo Jana,leo na Milele!
Wanadamu watajaribu kuchakachua revelations lakini neno la Mungu litasimama.
Lukolo
Miongoni mwa maandiko magumu sana niliyowahi kusoma ni yale yanayosema
"Wapendeni Adui Zenu, Waombeeni Wanaowaudhi"
Jifunze kupenda hata unaowachukia akiwemo spika
Leta ushahidi kwa maandishi.uyu Zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.
Lete ushahidi wa kimaandishi humu JF..
Wewe Judi unashirika moja na wezi nini, mtu alete taarifa za kutuokoa na kuokoa taifa wewe unaleta za kuleta, vipi wewe???????uyu Zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.
Wewe ndo unalipuka kwa sababu haujui chanzo kwa hiyo angalia jinsi ya kuwa unaweka kichwa cha thread bila kukulupuka
Hilo ni swali nyeti, iweje asisome taarifa aliyoletewa anapostuliwa anadai taarifa tena kwa maandishai akiambiwa anayo anasema iletwe tena kwa maandishi kwa vipi?????Is she serious indeed,or trying to water down the well researched data and motion by our diligent Brother Zito?????Mh Zitto leo, hivi punde, alitoa taarifa kwa Spika kuwa maelezo ya Waziri na Naibu Waziri wa Nishati na Madini kuhusu sakata la Mgodi wa Kiwira ni ya uongo mtupu na akafafanua jinsi Ufisadi wa kusikitisha ulivyofanyika, Spika akadai kuwa taarifa hiyo iletwe kwake kwa maandishi ili Serikali iweze kujibu, cha kushangaza Zitto akamjulisha Spika kuwa taarifa hiyo ipo kwake Spika kwa maandishi labda apelekewe upya, nae Spika Anna Makinda bila kusita akajibu "ndiyo ilete upya!" Sasa wanajamvi wenzangu sijui mumemuelewaje Spika anavyofanya jazi yake! Ina maana hasomi taarifa sensitive kama hizo au anapuuza kwa vile zimeongozwa na wapinzani au anawalinda mafisadi kwa makusudi?
uyu Zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.