Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,856
- 371
Ni kuhusu migodi ya madini, nimekuta akitakiwa na spika kuleta taarifa yake kwa maandishi. Nimechelewa chanzo chake. Aliyesikia kwa mapana tafadhali.
Ufafanuzi: Anayetajwa hapa si Waziri wa sasa ni Daniel Yona, alipokua Waziri wa Nishati na Madini, na alikua yeye na familia yake wakimiliki kampuni ya Tanpower Resources Ltd, akiwa na ubia na Benjamin Mkapa na familia yake. Kampuni iliyopewa umiliki wa Kiwira Coal Limited. Mpaka baadae ameifilisi kampuni yake ya Anbem Ltd, akimwacha mwanae hadi sasa katika umiliki wa kampuni hizo.
Ufafanuzi: Anayetajwa hapa si Waziri wa sasa ni Daniel Yona, alipokua Waziri wa Nishati na Madini, na alikua yeye na familia yake wakimiliki kampuni ya Tanpower Resources Ltd, akiwa na ubia na Benjamin Mkapa na familia yake. Kampuni iliyopewa umiliki wa Kiwira Coal Limited. Mpaka baadae ameifilisi kampuni yake ya Anbem Ltd, akimwacha mwanae hadi sasa katika umiliki wa kampuni hizo.