ubaguz wa kanda na udini ndio kiin cha chadema kwa kushangilia hili hatushangai kwa nini musiwambie korosho zao watafune wanakuja kubanngua dar?
Delta Rufiji kama ni msomi nina wasiwasi na usomi wako la haujasoma,na ndio maana wasomi wetu wa Tanzania huwezi kuwalinganisha na wasomi wa nchi yeyote sababu ni maboya tu, Umesoma kilichoandikwa hapo juu kuhusu gas ya Mtwara? Unakurupuka kuandika utumbo,haujui unachoandika wanatetewa wananchi wa Mtwara unaandika utumbo,kwanza walioandika wanakuzidi IQ unakurupuka tu ACHA kufikiri kwa kutumia makalio wewe huelewi nyamaza usiandike upumbavu wako humu jf
Last edited by a moderator: