masandare
JF-Expert Member
- Mar 9, 2014
- 671
- 566
Kwani kati ya magufuli na wizara yake nani anajulikana sana (maarufu) kwa wananchi. Think twice
Very clear
Kwani kati ya magufuli na wizara yake nani anajulikana sana (maarufu) kwa wananchi. Think twice
HUWEZI KUWA NA CHAMA IMARA ENDAPO NDANI YA CHAMA HICHO HICHO UTAKUWA NA WATU WASALITI KAMA AKINA ZITTO KABWE /katu hatutaweza kusonga mbele
Kamwe Zitto hawezi kuisahau Chadema na atakuwa anaiota.Zitto kwel kiboko yao,ameng'atuka ubunge ili aimarishe chama,Anazunguka nchi nzima kw Choppa kuwaeleza watz udicteta w cdm ulivyo ndo maana yko Act,rushen choppa tatu tena na nynyi mkamjibu kama mnajeur hyo tena mmezoea kuznguka na choppa sasa zamu yake na anavyojua kupanga maneno cjui kama mtapiga ata kampen mwaka huu,
Anachokifanya zitto si kitu kigeni ktk siasa tofauti ni kuwa anayafanya haya kwa kufadhiliwa na chama cha majambazi na ili uamini angalia mapambano humu jamvini ni dhidi ya CHADEMA
tunasubiri tuone mpambano utakavyokuwa hapo baadaye
Nilikuwepo mnazi moja siku hiyo na niliaminii kwa wakati huo Mrema ndiye angekuwa rais patakapofanyika uchaguzi. Mkutano wake wa mwisho wa kampeni za urais zilifanyika pale uhuru street kwenye viwanja vya shule ya Benjamin Mkapa lakini wakati huo shule ilikuwa haijajengwa kwa hiyo uwanja ulikuwa mkubwa sana. Ilikuwa ni balaa siku hiyo kwa jinsi umsti ulivyofurika. Popularity ya Zitto Kabwe haijafikia hata 1/3 ya Mrema wakati akijiengua CCM. Ninapomtizama Mrema leo najiambia moyoni mwangu ULIMWENGU WA SIASA UNA MAAJABU.
Zitto amesema alikuwa hachukui posho tangia alivyosema hataki posho. Hivi wengine waliacha kweli? Gari nasikia ilirudishwa lakini baada ya simu tatu ilachukuliwa tena!
TAARIFA KWA UMMA
mwami Zitto Kabwe. Kesho tarehe 22-3-2015 atazungumza na waandishi wa Habari.
Tukio Hilo muhimu na la kihistoria litafanyika SERENA HOTEL kuanzia saa Tano Kamili asubuhi.
Tafadhali fika bila kukosa kupata kujua mustakabali wa siasa za kweli Tanzania.
NB.watakaoenda watu-update
Juzi niliwaambia watu humu ndani hawa ccm ambao walikuwa wakijifanya wanampenda na kumtetea Abaki Chadema ..kwa manufaa Yao ...Mara tu alipojitoa ..WALIANZA kutumiana MSG Za kumkebehi......
Lusinde ni Aina ya watu ambao ANAONGEA anachojisikia lakini Hiki Nicho wanachoongea wana ccm wengi kwenye mijadala Yao ..ya USO kwa USO au groups Zao ......
Wanasema rule ya mafia deal ..ukimaliza lazima upotezwe ( Kisiasa )
Zitto jasiri sana mfano wa kuigwaaaaa
Huyu kijana ana matatizo. Sijaona umuhumu wa hizi hotuba mara waraka wake wakati hana ushahidi wa kimaandishi wa kufutwa chama. Ana haraka gani, si asubiri apewe barua ya mkufukuza? Sasa ana aga hadi bungeni wakati hakuna ushahidi wa kimaandishi kuwa kafutwa chama, ni nini maana yake? Aliyemshauri kampoteza.
Teh Teh huu uzi wamejaa Bavicha wana lialia ovyo! Zitto wapunguzie dawa wapumzike..
Vyama vyote vya upinzani maarufu (nccr, chadema) vimepata umaarufu kwa misingi ya usaliti mfano slaa alikisaliti ccm akajiunga na chadema, mrema hivo hivo so nothing new stop blaming