DAKA MTUMBA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,288
- 801
Jamani huku mtaani kwetu ni sheeedahhhhh!!!
Wewe ulitegemea atakwa na jipya zaidi ya kukitetea chama alichoanzisha ndani ya Chadema.Huyu jamaa ana akili sana manake watu walidhani ataongelea mambo ya CHADEMA lakini yeye kajikit kwenye chama chake tu.
Jamani huku mtaani kwetu ni sheeedahhhhh!!!
Siasa za bongo bhana, tutaendelea kutawaliwa na ccm hadi mwisho wa dunia,kwakuwa vyama vya upinzani hakuna kilicho series na kukamata madaraka badala yake zimekuwa taasisi za kujitafutia ridhiki na yeyote atakayejitia kimbelembele anatimuliwa tu
Tundu Lissu "Wa kukurupuka" Hali yake ikoje huko aliko?
Zitto ni marehemu kisiasa hana muda mrefu atafanana kwa kila kitu na Mrema kuanzia maisha, sura, na hatutashanga na yeye anaanza kulialia kwa JK apelekwe india kwa matibabu.Kamanda mbona umepanic ghafla, wewe mwenyewe umetoka kutuambia Zitto kaanzisha chama hivi marehemu anaweza kuanzisha chama.
Chama cha marehemu kinawafanya wote mchanganyikiwe.
Siku zote nawambia humu Chadema ni tawi la CCM tunawekea Lowassa wote nyie mtamkimbia Dr.Slaa na kuipigia kura CCM.
teh teh teh
Atagombea kwa Katiba ipi kaka? Umri wake aumruhusu ndio maana akasema Novemba watakutana mjengoni. Ila asidhani ni rahisi hivyo. Komba alizimika kama kibatari, maisha kitu cha ajabu sana. Amejiongezea maadui wengi sana Serikalini. Kama Mkono aliwekewa sumu sijui wengine.
Kama alivyo Cheyo na Mrema ndivyo atakavyokuwa Zitto.
Jamani huku mtaani kwetu ni sheeedahhhhh!!!
Zitto mbona kwisha habari yake, hakuna aliyemaarufu kuzidi taasisi inayomhudumia.
Hii post i forward kwa Nape na Makonda itawafaa sana, eti mlikuwa mnasema rais hawezi kutoka kaskazini lile ni jiwe kuu la pembeni ambalo waashi wamelishindwa sembuse Nape, mkulu mwenyewe ameanza kujipendekeza kwa kuwatumia mashehe wa Bagamoyo.Siku zote nawambia humu Chadema ni tawi la CCM tunawekea Lowassa wote nyie mtamkimbia Dr.Slaa na kuipigia kura CCM.
teh teh teh