bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,435
labada ni zile kamati za bunge na ubunge ametengeneza fortune ya kutosha so kichwa tu, why not go to germany for treatment! sasa mtu kama uyu hata uongozi wa juu hajakamata ananza mbewembwe izi! peremende aliyopewa na ccm inapeleka puta! ama kweli wahenga walisema, penye uzia, penyeza rupia