Elections 2010 Zitto aanza ziara mikoa ya Pwani na Kusini

NAIBU katibu mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe ametinga wilayani Kibaha kuwaomba wananchi kumuongezea nguvu bungeni kwa kuwachagua wabunge wengi kadri iwezekanavyo wa kambi ya upinzani ili kwa pamoja waweze kwenda kuibana serikali ili iweke mazingira mazuri ya maisha wa Watanzania.

Kuna tatizo kubwa hapa. Yaani mnataka kuniambia Zitto anafikiria kubaki UPINZANI bado? Kwa nini anataka wabunge wengi wa kwenda kuibana serikali? Hajajua bado serikali ijayo itaongozwa na CHADEMA, na CCM itakuwa upinzani? Tena itakuwa a discredited opposition party?

Tuko katika mabadiliko makubwa, na nategemea Zitto achague maneno yake vizuri zaidi. Mazoea yana tabu! Zitto, please catch up!
 
mchange.jpg



kazi kwelikweli... sugu muimba bongo flava huyu naye vipi..?? producer au!??
 
Sioni kwanini kila mtu hapa anashindwa kuona Zitto anakosea kimsingi anapotaka "wabunge wengi wa upinzani wa kwenda kuibana serikali". Kwani Zitto ameapa kubaki upinzani?
 
Sioni kwanini kila mtu hapa anashindwa kuona Zitto anakosea kimsingi anapotaka "wabunge wengi wa upinzani wa kwenda kuibana serikali". Kwani Zitto ameapa kubaki upinzani?

Augustine, waandishi wa habari huchagua ya kuandika na hapa hakuna hotuba yote niliyotoa huko Kibaha, au Mwibara na hata nitakayotoa leo Mtwara haitakuwapo. Nina ujumbe mahusuhi kuwa tunahitaji kuunda serikali na hivyo tunataka wabunge wengi. Pia ikitoke hatukuunda serikali basi tuwe wengi ndani ya Bunge ili kuwa na upinzani imara.

Ni vema kabla ya kuhukuma mambo ie conclude, ni vema kuuliza. Bahati nzuri mie ni mwana JF!

Mwisho, sijapangiwa na chama kwenda mikoa ya pwani na kusini maana naona exposure ya mentality ya udini udini. Chama kimenipangia kupita majimbo tunayoelekea kushinda ili kusaidia mikakati ya ushindi. Ndio maana juzi nilikuwa jimbo la Mwibara mkoa wa Mara. Kule hakuna the so called wenye vibandiko! Mimi ni mwanasiasa sio kwa sababu ya wapi ninasali bali kutokana na utumishi wangu kwa Taifa letu zuri na tunalolipenda.
Tunajiandaa kuunda serikali. Tunahitaji wabunge wengi sana
 
Mh. Zitto, umeona video za mshikaji January (thread ya NN ya wtf??)... ni hiyo yenye muziki imenitibua mpaka basi tu. Jamaa nilikuwa namwaminia kwa uelewa wake wa mambo, lakini hiyo video aliyoipaisha kwenye youtube... walahi tena ni kufuru na inatia kinyaa badala ya kuvutia!! choreography ya ajabu utafikiri mfalme wa Taifa anateuliwa... ya nini yote hayo jamani?! Tafadhali sana msimgeze... low scale with entertainment but maximum seras should work for you. Kutumia millioni 60 kwa kampeni Bumbuli halafu msaada ndani ya miaka 5 ijayo haufiki hata 10mill ya nini jamani??!
 
Mamshukuru sana Mheshimiwa Zitto kwa kujibu. Viongozi wa CHADEMA ni humble, na hilo linatia moyo sana. Nakumbuka kumwandikia Dr. Slaa dukuduku langu hapa naye akanijibu hivi hivi kama alivyofanya Zitto. Shukrani.

Ila naomba wapiganaji wakuu wote wa CHADEMA waamini kwamba huu ni mwaka wa mabadiliko. Waamini kwamba wanajitayarisha kuongoza serikali, na sio kuimarisha tu upinzani. Naona Dr. Slaa anayo hiyo imani. Inatokana na kusoma vizuri alama za nyakati. Ndio maana alisema kwamba baada ya yeye kuwataka CCM warudishe fedha za serikali walizochukua kwenye mfuko fulani kwa ajili ya kampeni, wamefanya hivyo. Akaongezea: "Na hiyo ni kabla sijaingia Ikulu"! Yaani anaamini kweli ataingia Ikulu. Ila akishaingia Ikulu kuna fedha nyingi sana ataamuru zirudishwe.
 
Kuna tatizo kubwa hapa. Yaani mnataka kuniambia Zitto anafikiria kubaki UPINZANI bado? Kwa nini anataka wabunge wengi wa kwenda kuibana serikali? Hajajua bado serikali ijayo itaongozwa na CHADEMA, na CCM itakuwa upinzani? Tena itakuwa a discredited opposition party?

Tuko katika mabadiliko makubwa, na nategemea Zitto achague maneno yake vizuri zaidi. Mazoea yana tabu! Zitto, please catch up!

Good observation sir, unajua tumekuwa so much engrained na CCM in power ndo maana kuna huku kujisahau. Having said that nadhani hata serikali ya CHADEMA itahitaji kusimamiwa ipasavyo (Check and Balances).
 
Good observation sir, unajua tumekuwa so much engrained na CCM in power ndo maana kuna huku kujisahau. Having said that nadhani hata serikali ya CHADEMA itahitaji kusimamiwa ipasavyo (Check and Balances).

Ni kweli, serikali ya CHADEMA itakuwa inahojiwa na wabunge wa upinzani, yaani wabunge wa CUF na CCM. Ila kampeni ya Zitto ni ya kutafuta wabunge wengi wa CHADEMA na sio ya kutafuta wabunge wengi wa upinzani.
 
Augustine, waandishi wa habari huchagua ya kuandika na hapa hakuna hotuba yote niliyotoa huko Kibaha, au Mwibara na hata nitakayotoa leo Mtwara haitakuwapo. Nina ujumbe mahusuhi kuwa tunahitaji kuunda serikali na hivyo tunataka wabunge wengi. Pia ikitoke hatukuunda serikali basi tuwe wengi ndani ya Bunge ili kuwa na upinzani imara.

Ni vema kabla ya kuhukuma mambo ie conclude, ni vema kuuliza. Bahati nzuri mie ni mwana JF!

Mwisho, sijapangiwa na chama kwenda mikoa ya pwani na kusini maana naona exposure ya mentality ya udini udini. Chama kimenipangia kupita majimbo tunayoelekea kushinda ili kusaidia mikakati ya ushindi. Ndio maana juzi nilikuwa jimbo la Mwibara mkoa wa Mara. Kule hakuna the so called wenye vibandiko! Mimi ni mwanasiasa sio kwa sababu ya wapi ninasali bali kutokana na utumishi wangu kwa Taifa letu zuri na tunalolipenda.
Tunajiandaa kuunda serikali. Tunahitaji wabunge wengi sana

Hapo kwenye bold kama wewe mwanasiasa hutakiwi kuogopa mambo haya, serikali inayokuja tunataka kuunganisha watanzania sasa wewe ukiogopa ina maana gani? Please zitto kuwa makini kila unachoongea na kuandika... ni ushauri wangu
 
Nafikiri Zitto amepelekwa sehemu zenye vibandiko vingi kama sikosei Mbeya atatinga kamanda mwenyewe.

Augustine, waandishi wa habari huchagua ya kuandika na hapa hakuna hotuba yote niliyotoa huko Kibaha, au Mwibara na hata nitakayotoa leo Mtwara haitakuwapo. Nina ujumbe mahusuhi kuwa tunahitaji kuunda serikali na hivyo tunataka wabunge wengi. Pia ikitoke hatukuunda serikali basi tuwe wengi ndani ya Bunge ili kuwa na upinzani imara.

Ni vema kabla ya kuhukuma mambo ie conclude, ni vema kuuliza. Bahati nzuri mie ni mwana JF!

Mwisho, sijapangiwa na chama kwenda mikoa ya pwani na kusini maana naona exposure ya mentality ya udini udini. Chama kimenipangia kupita majimbo tunayoelekea kushinda ili kusaidia mikakati ya ushindi. Ndio maana juzi nilikuwa jimbo la Mwibara mkoa wa Mara. Kule hakuna the so called wenye vibandiko! Mimi ni mwanasiasa sio kwa sababu ya wapi ninasali bali kutokana na utumishi wangu kwa Taifa letu zuri na tunalolipenda.
Tunajiandaa kuunda serikali. Tunahitaji wabunge wengi sana


Zitto,

Umefanya vizuri kumjibu huyo "Mwanakijiji" na hila zake chafu za udini na undumilakuwili. Kwa ujinga wake anadhani watu hawamjui la hasha, tunakujua sana njoo tu na majina yako lukuki tuta ku expose.

Ushauri:

Kama ume elewa bandiko hili vizuri weka picha za Sheikh Yahya, Komba akicheza mziki, Lipumba kavaa kanzu nk halafu yule kigoli wako ata kuunga mkono nae, ndioo kishajijua nani.
 
mchange.jpg



kazi kwelikweli... sugu muimba bongo flava huyu naye vipi..?? producer au!??

tehetehe kazi kwelikweli
yule wa Nkenge ndiye aliyekuwa mpigamziki
huyu Bw.Habibu Mchange anaonekana ni kijana mdogo mno sijui kama ataweza kupamba na majifisadi.
 
Zitto,

Umefanya vizuri kumjibu huyo "Mwanakijiji" na hila zake chafu za udini na undumilakuwili. Kwa ujinga wake anadhani watu hawamjui la hasha, tunakujua sana njoo tu na majina yako lukuki tuta ku expose.

Eti nini? Yaani Kanda2 anadai mimi ni Mwanakijiji? Mzee Mwanakijiji, you should sue this guy for defamation!
 
kazi kwelikweli... sugu muimba bongo flava huyu naye vipi..?? producer au!??
Sasa kama type ya watu kama huyu ndio wametumwa kuja kumpigia kampeni JK humu, tukiwaambia hamna hoja mtakataa na kubaki kusema JF imejaa Chadema.
 
Zitto,

Umefanya vizuri kumjibu huyo "Mwanakijiji" na hila zake chafu za udini na undumilakuwili. Kwa ujinga wake anadhani watu hawamjui la hasha, tunakujua sana njoo tu na majina yako lukuki tuta ku expose.

Ushauri:

Kama ume elewa bandiko hili vizuri weka picha za Sheikh Yahya, Komba akicheza mziki, Lipumba kavaa kanzu nk halafu yule kigoli wako ata kuunga mkono nae, ndioo kishajijua nani.
Eti na yeye leo ana sapoti upinzani karibu jua litaanza kutokea magharibi ha ha haaa!
 
Augustine, waandishi wa habari huchagua ya kuandika na hapa hakuna hotuba yote niliyotoa huko Kibaha, au Mwibara na hata nitakayotoa leo Mtwara haitakuwapo. Nina ujumbe mahusuhi kuwa tunahitaji kuunda serikali na hivyo tunataka wabunge wengi. Pia ikitoke hatukuunda serikali basi tuwe wengi ndani ya Bunge ili kuwa na upinzani imara.

Ni vema kabla ya kuhukuma mambo ie conclude, ni vema kuuliza. Bahati nzuri mie ni mwana JF!

Mwisho, sijapangiwa na chama kwenda mikoa ya pwani na kusini maana naona exposure ya mentality ya udini udini. Chama kimenipangia kupita majimbo tunayoelekea kushinda ili kusaidia mikakati ya ushindi. Ndio maana juzi nilikuwa jimbo la Mwibara mkoa wa Mara. Kule hakuna the so called wenye vibandiko! Mimi ni mwanasiasa sio kwa sababu ya wapi ninasali bali kutokana na utumishi wangu kwa Taifa letu zuri na tunalolipenda.
Tunajiandaa kuunda serikali. Tunahitaji wabunge wengi sana

Mh Zitto can't agree more. Nakubaliana na wewe kuwa pamoja na kwamba wewe ni mwanachadema, pamoja na kuwa wewe una dini yako, cha kwanza wewe ni mtanzania. Hali hii ni hivyo kwa watanzania wote. First we are Tanzanians, ya dini, vyama, makabila na ujinga mwingine unakuja baada ya utanzania.

Huu ni ujumbe ambao unatakiwa kuenezwa kwa watanzania wote. Tupige kura kuonsha upendo kwa Tanzania yetu. Sio kuonesha upendo kwa vyama ambavyo Tanzania inapewa nafasi ya tatu.
 
Eti nini? Yaani Kanda2 anadai mimi ni Mwanakijiji? Mzee Mwanakijiji, you should sue this guy for defamation!

Mbona una kihere here? hujaambiwa wewe, alie amabiwa kishajijua kwa hiyo tuliza ball uwanja una mabonde huu.

Kum sue Kanda2? go ahead, see you at the court!
 
Mbona una kihere here? hujaambiwa wewe, alie amabiwa kishajijua kwa hiyo tuliza ball uwanja una mabonde huu.

Kum sue Kanda2? go ahead, see you at the court!

Ngona nimreport kwa mods wamfungie tena, amezidi kiherehere huyu madrassa
 
Back
Top Bottom