umepotea chumba!Wanajamii forum wenzangu, eb mnisaidie nifaham sifa anazotakiwa kuwa nazo mwanamke wa kuoa.
Bila shaka kwa sifa hizo, ninavyoona mimi ndo zitakamilisha neno "mwanamke mzuri"
7. awe na meno kama gaucho1. Awe na Matege
2. Kitambi kiduchu
3. Anyoe Kipara
4. Awe anakojoa kitandani
5. Awe anaoga japo mara tatu kwa wiki
6. Awe na ushujaa wa kuachia ushuzi hadharani.
unarudi boarding lini? shule zimeshafunguliwa au bado?Usiikimbie hoja. Jadili au utoe mtazamo wako hapo.
11. Awe na jinsia mbili7. awe na meno kama gaucho
8. awe anaweza kukaa siku nzima bila kupiga mswaki
9. awe na nywele za kipilipili natural
10. awe na sura kama yako wewe mtoa mada
1. Awe na Matege
2. Kitambi kiduchu
3. Anyoe Kipara
4. Awe anakojoa kitandani
5. Awe anaoga japo mara tatu kwa wiki
6. Awe na ushujaa wa kuachia ushuzi hadharani.
11. Awe na jinsia mbili
12. Awe na sura kama ngumi ya mwizi
13. Awe na vinyweleo kwenye chuchu zake
14. Awe na mikono yote ya kushoto
1. Awe na Matege
2. Kitambi kiduchu
3. Anyoe Kipara
4. Awe anakojoa kitandani
5. Awe anaoga japo mara tatu kwa wiki
6. Awe na ushujaa wa kuachia ushuzi hadharani.
mke mzuri ni yule unayeweza kujadiliana nae- critical discussion- na mkafikia muafaka bila kununa, kususa, kulia, kukasirika; ni anayeweza kukuhoji bila woga, ni yule unayeweza mpa ATM card yako na password na baada ya muda ukaitwa kuangalia kiwanja cha kununua, mkatengeneza ramani ya nyumba, mkajenga msingi wa nyumba na kusimamisha nyumba na hatimae mkahamia na kuanzisha miradi; mke mzuri ni yule mnayeweza kujadialiana na shule ipi mtoto aende na kwa nini; mke mzuri ni yule anayesimamia misingi yenu na hang'ang'anii mfanye kama jirani na familia nyingine zinavyofanya; nk nk nk
Wanajamii forum wenzangu, eb mnisaidie nifaham sifa anazotakiwa kuwa nazo mwanamke wa kuoa.
Bila shaka kwa sifa hizo, ninavyoona mimi ndo zitakamilisha neno "mwanamke mzuri"