Zipi kanuni za kulea nyumba ndogo isikukimbie.

Losambo

JF-Expert Member
Nov 8, 2011
2,612
864
Kwa mara ya kwanza najitupa Chit Chat mnisaidie hili. Sina hakika kama lilishawahi kujadiliwa sana ama laaah lakini lengo hasa ni kutaka kufahamishwa ni jinsi gani unaweza ukailea nyumba ndogo kiasi ambacho haiwezi kukimbia. Nimekuwa nikijiuliza ili nyumba ndogo isikukimbie ni sharti uwe;
  1. Handsome? Mwanaume mwenye mvuto kiasi ambacho siyo rahisi kukimbiwa huku kunako sita kwa sita ukiwa mtaalamu wa kutosha?
  2. Uwe na uwezo wa kuihudumia nyumba ndogo? Kuihudumia kiasi gani sasa?
  3. Uwe na mali kama gari na vitu vidogo vidogo?
  4. .....
Kwa kweli nimekwama naomba mnidadavulie maana sababu za kuwa na nyumba ndogo ni nyingi na kila mtu na yake kulingana na mazingira.


Najua Chit Chat ina wenyewe nami nawaita na kuwaalika ili tujadili hili.


Nawakilisha.
 
ni lazima ukubali kuwa cash cow...hapo nyumba ndogo haitakukimbia. This is the first and foremost principle, the rest is prologue

Utingo mbona tunaona baadhi ya wadosi wana mkwanja kachaa na wanahudumia lakini watu wanakula nyumba ndogo zao bila chenga tena kwa kigezo cha kutowafikisha?

Kanuni yako nimeinote. First anf for most, money
 
ukitaka uheshimike na kuitawala nyumba ndogo kwa mfumo wa miaka kumi kumi kama CCM ni mwendo wa kuvunja kibubu tu yani kwa lugha nyepesi kwa nyumba ndogo laki si pesa million uadui..
 
ukitaka uheshimike na kuitawala nyumba ndogo kwa mfumo wa miaka kumi kumi kama CCM ni mwendo wa kuvunja kibubu tu yani kwa lugha nyepesi kwa nyumba ndogo laki si pesa million uadui..

Gozo kama ni hivyo naanza kukata tamaa mimi nilifikiri ukionja tundi basi kama umejituma sana na kufanya makoronjinjo basi unaweza ukapendwa provided sector nyingine upo normal!!!!
 
Utingo mbona tunaona baadhi ya wadosi wana mkwanja kachaa na wanahudumia lakini watu wanakula nyumba ndogo zao bila chenga tena kwa kigezo cha kutowafikisha? Kanuni yako nimeinote. First anf for most, money
the best way to find out ni kwa wewe kujitumbukiza kwenye hako kajumba kadogo...uone kisha utathibitisha nilivyokwambia. Also remember Kinywa cha malaya ni shimo refu;Anayechukiwa na BWANA atatumbukia ndani yake. Mithali 23:14
 
Gozo kama ni hivyo naanza kukata tamaa mimi nilifikiri ukionja tundi basi kama umejituma sana na kufanya makoronjinjo basi unaweza ukapendwa provided sector nyingine upo normal!!!!

kama performance yako inalizisha ktk nyumba ndogo ni added advantage but uvunjaji wa kibubu ndo alfa na omega..
 
the best way to find out ni kwa wewe kujitumbukiza kwenye hako kajumba kadogo...uone kisha utathibitisha nilivyokwambia. Also remember Kinywa cha malaya ni shimo refu;Anayechukiwa na BWANA atatumbukia ndani yake. Mithali 23:14

Kama ana masikio atasikia, umemnyooshea sana.
 
kama performance yako inalizisha ktk nyumba ndogo ni added advantage but uvunjaji wa kibubu ndo alfa na omega..

Kibubu kumbe ndiyo siri basi maskini hawana chao na naanza kuamini ule msemo wa wacha wafu kwa wafu wazikane!!!!

 

Kama ana masikio atasikia, umemnyooshea sana.

Mzee wa Rula usifikiri wote wanaopenda kufanya dhambi ni hiari yao, elewa dhambi imepambwa katika ulimwengu wa roho na kama binadamu tunajikuta tunashindwa na ndiyo maana wengi tunaogopa kufa licha ya kujua mbingu ni ujira wa mwenye kutenda mema kwa Mungu.
 
Unless umebeba malaya, na tangu mwanzo ulianza kununua penzi but kama umepata nyumba ndogo iliyo tulia ni bora na wewe utulie, uiheshimu na kuipenda kama mwanake .
 
Gozo kama ni hivyo naanza kukata tamaa mimi nilifikiri ukionja tundi basi kama umejituma sana na kufanya makoronjinjo basi unaweza ukapendwa provided sector nyingine upo normal!!!!


Hiyo bold ndo naiona kwa mara ya kwanza........................

:focus: Acha mpango wa kando
 
Ah! Mi hii thread hainihusu sana. Kazi yangu siku zote ni kubanjua nyumba ndogo za madosi.
 
Hapa Asprin anaumwa tu angekupa kanuni

RR,Teamo,Nguli,Kaizer ,Klorokwin na wengineo wakiiona hii post watakusaidia
 
Subiri wazowefu wafike nishawaita wanakuja............

Losambo, ukitaka kumiliki nyumba ndogo uza mali ubaki medium, kama ni cheo kataa ubaki mfanyakazi wa kawaida. Ni ngumu sana kumiliki vitu viwili, yaani penzi na pesa.
 
Mzee wa Rula usifikiri wote wanaopenda kufanya dhambi ni hiari yao, elewa dhambi imepambwa katika ulimwengu wa roho na kama binadamu tunajikuta tunashindwa na ndiyo maana wengi tunaogopa kufa licha ya kujua mbingu ni ujira wa mwenye kutenda mema kwa Mungu.

wewe je, ni kwa hiari au si hiari?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom