Zinaa ni deni ambalo lazma mzinifu alilipe atake au asitake

Jaalut

Member
Jan 18, 2020
72
244
UKWELI AMBAO WAZINIFU WENGI HAWAUJUI....

1. Zinaa ni deni

Zinaa ni deni ambalo lazma mzinifu alilipe atake au asitake.

Ukizini na mwanamke lazma ujue umezini na mtoto wa mtu au mke wa mtu au dada wa mtu au mama wa mtu...

Hivyo basi Ukizini na mwanamke yeyote yule, lazma na wewe mkeo, mama ako, dada yako pamoja na wanao waziniwe. Either kwa kujua au kwa kutokujua.

Kama Unajisifu umekula tunda kimasihara jua na mkeo watu wanamla kimasihara pia. Mana zinaa ni deni. (KARMA)


2. Zinaa humfanya mtu kukosa haya. (Kuwa kama mnyama)

Kimaumbile hakuna kitu kigumu kwa mtu mzima mwenye akili timamu kama kumvulia nguo mtu mzima mwenzake.

Lakini pindi mtu anapoingia kwenye ulimwengu wa uzinifu, haya umuondoka na suala la kuwavulia nguo watu tofaut tofauti linakuwa ni jambo jepesi mno.

Leo hii utakuta mtu hajaoa wala hajaolewa lakini watu chungu nzima wanajua utupu wake ulivyo na yeye wala hajali.

Kitendo cha mtu kuwavulia nguo watu wengi bila kujali ni dalili ya kukosa haya, kwa kifupi unakuwa hauna tofaut na mnyama.



3. Zinaa inasababisha ndoa kutokudumu.

Ni ukwel usiopingika kwamba kizazi cha sasa ndoa huwa hazidumu ila sababu kubwa ni kutokana na zinaa.

Mtu aliyezoea kubadilisha wapenzi kila kukicha hata akioa lazma atacheat tu, hii ni kwa sababu zinaa huleta addiction.

Siku zote mzinifu anapoowa au kuolewa lazma amlinganishe mumewe au mkewe na ma-ex zake wa zaman,

sasa ikitokea ma-ex wakawa
mafundi na watamu kuliko mumewe au mkewe basi hiyo ndoa lazma itaingia kwenye misukosuko mwisho wa siku itavunjika tu.

Mfano mzuri leo hii wanawake wengi wanalalamika kuwa wanaume wana vibamia, ila wanasahau kuwa sababu kubwa inayomfanya mwanamke aseme mwanaume fulani ana kibamia ni ulinganisho wa uume wa mwanaume huyo na mabwana zake wa zaman.





Kiuhalisia yapo madhara mengi ya zinaa kijamii, kiafya na kiuchumi ila naomba kwa leo niishie hapo,

VIJANA TUACHE ZINAA TUCHAPE KAZI.

#Corona-is-real #stayhome #staysafe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Zinaa ni deni

Zinaa ni deni ambalo lazma mzinifu alilipe atake au asitake.

Ukizini na mwanamke lazma ujue umezini na mtoto wa mtu au mke wa mtu au dada wa mtu au mama wa mtu...

Hivyo basi Ukizini na mwanamke yeyote yule, lazma na wewe mkeo, mama ako, dada yako pamoja na wanao waziniwe. Either kwa kujua au kwa kutokujua.

Kama Unajisifu umekula tunda kimasihara jua na mkeo watu wanamla kimasihara pia. Mana zinaa ni deni. (KARMA)


2. Zinaa humfanya mtu kukosa haya. (Kuwa kama mnyama)

Kimaumbile hakuna kitu kigumu kwa mtu mzima mwenye akili timamu kama kumvulia nguo mtu mzima mwenzake.

Lakini pindi mtu anapoingia kwenye ulimwengu wa uzinifu, haya umuondoka na suala la kuwavulia nguo watu tofaut tofauti linakuwa ni jambo jepesi mno.

Leo hii utakuta mtu hajaoa wala hajaolewa lakini watu chungu nzima wanajua utupu wake ulivyo na yeye wala hajali.

Kitendo cha mtu kuwavulia nguo watu wengi bila kujali ni dalili ya kukosa haya, kwa kifupi unakuwa hauna tofaut na mnyama.



3. Zinaa inasababisha ndoa kutokudumu.

Ni ukwel usiopingika kwamba kizazi cha sasa ndoa huwa hazidumu ila sababu kubwa ni kutokana na zinaa.

Siku zote mzinifu anapoowa au kuolewa lazma amlinganishe mumewe au mkewe na ma-ex zake wa zaman,

sasa ikitokea ma-ex wakawa
mafundi na watamu kuliko mumewe au mkewe basi hiyo ndoa lazma itaingia kwenye misukosuko mwisho wa siku itavunjika tu.

Mfano mzuri leo hii wanawake wengi wanalalamika kuwa wanaume wana vibamia, ila wanasahau kuwa sababu kubwa inayomfanya mwanamke aseme mwanaume fulani ana kibamia ni ulinganisho wa uume wa mwanaume huyo na mabwana zake wa zaman.




Kiuhalisia yapo madhara mengi ya zinaa kijamii, kiafya na kiuchumi ila naomba kwa leo niishie hapo,

VIJANA TUACHE ZINAA TUCHAPE KAZI.

#Corona-is-real #stayhome #staysafe

Sent using Jamii Forums mobile app
Haswaaa mkuu wapo watakao kupinga ila umezungumza ukwel mchungu sana. Baadhi ya DINI hazikukosea kukemea hili jambo kwa sababu zilijua madhara yake kama hayo uliyoyaorodhesha
 
Dhambi hii inatutafuna wengi.
Kuanzia viongozi wetu wa dini.
Hata wale wenye ndevu na suruali za dont touch hii dhambi wameshindwa kuchomoka.
Yule mjahidina mbishi wa humu naye kashindwa kuchomoka.
Hii dhambi hii
 
Kwamba subject ni mwanamke tu?
Kwann isiwe kwa upande wa kiume pia, au unamaanisha kwa wanaume ni favour ila kwa wanawake ni laana, hata mifano uliyotoa ni dada, mama sijui shangazi.

Kwani hamna wanawake wanao initiate hiyo zinaa vp na kwao karma itakua nini? Baba zao wajomba zao, kaka zao nao watapata karma ya kupata tunda bure bure kutoka kwa wanawake kama karma?
Nauliza tu😁
 
Mi nawashangaa sana wanaohangaika na dawa za kuongeza dushe wanasahau kabisa kuwa dushe ni natural na tatizo ni lile shimo halikuumbwa vile limekua man-made
Hebu tusijichoshe wanaume tatizo sio bamia tatizo ni matundu ya upande wa pili
 
1. Zinaa ni deni

Zinaa ni deni ambalo lazma mzinifu alilipe atake au asitake.

Ukizini na mwanamke lazma ujue umezini na mtoto wa mtu au mke wa mtu au dada wa mtu au mama wa mtu...

Hivyo basi Ukizini na mwanamke yeyote yule, lazma na wewe mkeo, mama ako, dada yako pamoja na wanao waziniwe. Either kwa kujua au kwa kutokujua.

Kama Unajisifu umekula tunda kimasihara jua na mkeo watu wanamla kimasihara pia. Mana zinaa ni deni. (KARMA)


2. Zinaa humfanya mtu kukosa haya. (Kuwa kama mnyama)

Kimaumbile hakuna kitu kigumu kwa mtu mzima mwenye akili timamu kama kumvulia nguo mtu mzima mwenzake.

Lakini pindi mtu anapoingia kwenye ulimwengu wa uzinifu, haya umuondoka na suala la kuwavulia nguo watu tofaut tofauti linakuwa ni jambo jepesi mno.

Leo hii utakuta mtu hajaoa wala hajaolewa lakini watu chungu nzima wanajua utupu wake ulivyo na yeye wala hajali.

Kitendo cha mtu kuwavulia nguo watu wengi bila kujali ni dalili ya kukosa haya, kwa kifupi unakuwa hauna tofaut na mnyama.



3. Zinaa inasababisha ndoa kutokudumu.

Ni ukwel usiopingika kwamba kizazi cha sasa ndoa huwa hazidumu ila sababu kubwa ni kutokana na zinaa.

Siku zote mzinifu anapoowa au kuolewa lazma amlinganishe mumewe au mkewe na ma-ex zake wa zaman,

sasa ikitokea ma-ex wakawa
mafundi na watamu kuliko mumewe au mkewe basi hiyo ndoa lazma itaingia kwenye misukosuko mwisho wa siku itavunjika tu.

Mfano mzuri leo hii wanawake wengi wanalalamika kuwa wanaume wana vibamia, ila wanasahau kuwa sababu kubwa inayomfanya mwanamke aseme mwanaume fulani ana kibamia ni ulinganisho wa uume wa mwanaume huyo na mabwana zake wa zaman.




Kiuhalisia yapo madhara mengi ya zinaa kijamii, kiafya na kiuchumi ila naomba kwa leo niishie hapo,

VIJANA TUACHE ZINAA TUCHAPE KAZI.

#Corona-is-real #stayhome #staysafe

Sent using Jamii Forums mobile app

umemwaga point weye ndio maana mie nasema kwa ugegedaji wangu huu bora nisioe maana sifa za kuwa kwenye ndoa nilishakosa. alafu watanigegedea mke wangu sasa stress za nini bwana.

ila usemalo ni kweli ndoa nyingi hazidumu siku hizi kwa sababu wanaooana ni malaya.
 
Dhambi ya uzunifu imefanywa kuwa kitu cha kawaida.
Kiimani ikifahamika kweli umezini kanisa linakutenga.
Na haya mambo ya bwawa na sijui nguvu za kiume ndio yanaanzia kwenye zinaa.

sasa kanisa lenyewe halijielewi. wao wenyewe wanasupport uzinifu. wewe unafungishaje ndoa mtu litumbo hilo?
 
Back
Top Bottom