Zinaa imekithiri, magonjwa yameongezeka sana

Nimechunguza hiyo picha, nimehitimisha ya kuwa aliyepiga ambaye pia huenda ndiye mwenye hayo majibu ni mtu mwanamume mtu mzima kati ya miaka 35-45 ichunguze vizuri.

Tuwe makini tu.
 
Mkuu jikite kwenye hoja yangu .

Kupima hata wiki iloisha nimepima na Niko Safi.

Turudi kwenye Hoja zangu mbili za chini..

Hiyo 1--20 kwa pamoja kua Postive imekuaje ? Yaan Kaja wa kwanza Pos, wapili tatu, NNE, tano yaan mpaka wa 20 pos...

Baada ya wa 20 ,hamkupata tena wateja ? .

Na kwann , Picha upigie Ndani kwako nasio huko maabara ??

Kwanza hizo kits umerudi nazo kwako??? .

Haaaaaaaa mtoa mada hapooo hapooo. Mzee ,kama wee sio MTU wa maabara ili ufit kwenye hoja namba moja.

Hiyo Damu ulotumia niyako....nandio sababu unajiita "Candlelight ".
Hyo picha wameitoa Instagram kwa dokta Lawi..nafikiri nesi kapima then akamtumia Dk akaunti yake inaitwa Hiv living positive...!!sijui kwa nini hawasemi wapi wametoa hizo picha
 
Jaman wazee wa JF,

Nyie wapenda zinaa kila kona hamna kidume kimeacha kusema nakujisifia wanavyoichakata mbunye mara mbususu chai zao wakileta wamejaza tangawiz kbao yaan na limao wanaweka jins wanataka sifa...mara nakula mke wa mtu, mara mke wa kaka, mara shemej, jirani...

Sasa endeleeni kula ni fashion sasa ila mtambue mpo kwenye mtandao mkubwa wa HIV yaan ulomla kaliwa na aliomla kala pengine na mwingne anakula pia wote mnaenda na maji ...kutuliza gololi zenu hamuwez nyie wanaume,..picha ndo kama hilo mkapime huenda ni wafu mlio hai

Unawatisha mazuzu wenzako na hayo maplastic ya kuletewa na mabwana zenu.

Wambie walio kuletea hayo makitu pia wakuletee microscope ya kumchunguza huyo mdudu unaehisi yupo kwenye hayo maplastic. Kama ikija nijulishe nitembee uchi toka Dar mpaka Mwanza
 
Back
Top Bottom